Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,753
Na mimi ndicho nakiona mimi - wanajipigia debe kwa kutumia cowboy tactics - nalipo muona anamgeuzia kibao Kikwete mchana kweupe akishirikiana na yule mama aliye wahi kuwa Waziri na Kiongozi mkuu wa UWT wanaimba eti wana imani na Lowassa - mnawezaje kuamini mtu ambaye hana msimamo ie highly unpredictable mnaweza kujuwa kesho atafanya nini?Emma naona unajipa promo mapema kabisa
Hivi ubalozi hauna maslahi?
Cha muhimu kamati kuu itumie hekima na busara katika uteuzi wake wa makamu wa Rais.