Baada ya Kifo cha Rais Magufuli: Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais Tanzania?
Simbachawene au Mtaka

Andunje hatumtaki na genge lake
Subiri hapo wana CCM wakushangaze!

Utashangaa!! Game changer, king maker, Rostam Aziz, VP! Hata MO Au Bashite aweza kupewa, 9-10 Askofu asiyefufua Gwajiboy aweza magnifies kijiti, au LEMUTUZ super brand!😅

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Nasikia Wasukuma wanataka hiyo nafasi kwa udi na uvumba. Waziri wa ujenzi ndio chaguo lao ikishindikana basi hata Askofu Rashid au Makonda.
Ngongo, acha mzaha tumefiwa na kitabunga wetu, tuko kwenye majonzi mazito.
 
Subiri hapo wana CCM wakushangaze!

Utashangaa!! Game changer, king maker, Rostam Aziz, VP! Hata MO Au Bashite aweza kupewa, 9-10 Askofu asiyefufua Gwajiboy aweza magnifies kijiti, au LEMUTUZ super brand!😅

Everyday is Saturday............................... 😎

Gwajima mzee wa mipasho hafai hata robo.
 
Nasikia Wasukuma wanataka hiyo nafasi kwa udi na uvumba. Waziri wa ujenzi ndio chaguo lao ikishindikana basi hata Askofu Rashid au Makonda.

Hata wasukuma pia ni watanzania, kabila lenye idadi kubwa kuliko yote nchini. Nitafurahi pia akipewa msukuma, especially makonda
 
January is our new PM. you can take these words to the bank.
SI mlimfuta kazi kipindi chenu Cha lake zone. Sasa anakuja kivingine.
Hii nchi itatawaliwa na wachaga kupitia mlango wa jikoni.
Piga ua garagaza
Kwa kweli hata Mimi suala la makabila nikishapishana nalo.
Hata wanangu sijui Ni kabila gani. Wana uhehe, uzaramo kwani wamezaliwa Dar, Wana upogoro, Wana upare kwa mbali, Wana uswahili na wanaongea kiingereza.
 
Raisi aongozwe tena??

Kwamba hana uwezo wa kuongoza??
JK from President to Deputy President??

Everyday is Saturday............................... 😎

Why not, mbona Puttin alikuwa makamu baada ya kuwa Rais, ijapo akaja tena kuwa Rais..

Nchi sasa hivi inataka mtu mwenye busara na uzoefu, sio mtu wa kufanya majaribio. Mtu atakaye weka umoja na amani, na kuwapa wananchi, wageni na wafanya biashara kinfidensi juu ya maisha yao...

kwahiyo mtu kama jk ambaye once alikuwa rais wa nchi, ama hao wengine wataongoza kwa minajli tu yakuliweka taifa pazuri na siyo kujilimbukizia..
 
Anayefaa kuwa Makamu wa Rais ni Huyu Kijana Mchapa kazi Mzuri Mwenye kujuwa kuzungumza na kufanya kazi kwa Vitendo. Mheshimiwa Humphrey polepole Mnasemaje?

2854bb82-ab5a-44c9-8b8c-813e0ea39096.jpg


Humphrey Polepole ni nani?​


Humphrey Polepole, mjumbe wa iliyokuwa Tume ya Katiba amekuwa mstari wa mbele kutoa maelezo, ufafanuzi na kukabiliana kwa hoja na Wapinzani wa rasimu katiba iliyowasilishwa.

Kipekee nampongeza sana kwani tume ilikuwa na wajumbe wengi lakini wengine wako kimya ila Bwana Polepole amekabiliana nao na anaendelea kukabiliana nao dhidi ya upotoshaji, kwangu mimi Bw Polepole anastahili tunzo ya heshima yaKuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Hapana mkuu! Nakukumbusha kuwa katika maisha chagua kile unachokiamini na kukisimamia kwa dhati...una ka element ka ukabila mkuu!
Mheshimiwa Ndebile Mimi Sina ukabila hata chembe. Kwanza nimeoa kabila jingine ndio maana wanangu hawajui Ni kabila gani. Ila tupende tusipende kupitia mlango wa jikoni wachaga watatawala hii nchi maana viongozi wengi wameoa huko. Sasa sijui Ni mwanamme gani atapewa amri na mkewe halafu akakataa. Mtu huyo hayupo
 
Back
Top Bottom