Ili iweje!!?
 
Mkuu wakimpa tena na umakamu wa Rais mwanamke, kwajinsi navyowajua wanawake watakuja juu sana hasa wa mitaani, wataanza kuwaoshesha waume zao vyombo na vyupi tena kwa kuwalazimisha.
 
Hiyo nafasi atateuliwa Mwanaume tena atakuwa ni muumini wa Dini ya kikristo.
 
Kwani gogoki kasemaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…