Na wachaga watajimilikisha nchi yote,kumbuka crdb ilivyojaa wachaga.
Wachaga watang'aa ,,acha tumpe tuu,,wachaga tupumue.
Kama wasukuma walivyo jazana kwenye kila idaraNa wachaga watajimilikisha nchi yote,kumbuka crdb ilivyojaa wachaga.
Kutesa kwa zamu na sasa wasukuma mtuvumilie kidogoWachaga watang'aa ,,acha tumpe tuu,,wachaga tupumue.
Hakuna wasukuma waliojazana kwenye idara, hii ni propaganda tu zisizo na maana.Kama wasukuma walivyo jazana kwenye kila idara
Unafahamu kuwa mpaka unapata kazi bank ni lazima uwe na sifa. Kama nafasi imetangazwa na wenye sifa wote ni Wachaga basi waachwe?Na wachaga watajimilikisha nchi yote,kumbuka crdb ilivyojaa wachaga.
Kwa wachaga hapana, wana ukabila, watagawana nchi.Unafahamu kuwa mpaka unapata kazi bank ni lazima uwe na sifa. Kama nafasi imetangazwa na wenye sifa wote ni Wachaga basi waachwe?
Huu uzi ndo utatetewa hatar... subiri uone maana humu ndani waki wengi kweli na ndio wanaongoza kumponda hayati na ndio wanaongoza kusema Hayati aliligawa taifa, kisa tu % kubwa wao hawakuoata ulaji.Na wachaga watajimilikisha nchi yote,kumbuka crdb ilivyojaa wachaga.
Hatuwezi kuwaepuka kwani katika society zao 70% wanaelimu na wanahitajika katika Nyanja mbali mbali. Ma kabila mengi wenye elimu ni 30-50% ya kabila zima.Kwa wachaga hapana, sana ukabila, watagawana nchi
Haiwezekani na wala haiingii akilini hata kwa mtu asie na akili kwamba kwenye watu milioni 60, basi wachaga ndio wenyewe tu wenye sifa za kuajiriwa bank, hii wala haitawezekana.Unafahamu kuwa mpaka unapata kazi bank ni lazima uwe na sifa. Kama nafasi imetangazwa na wenye sifa wote ni Wachaga basi waachwe?
Upo sahihi, hawa jamaa sio, CRDB imejaa wachagaNa wachaga watajimilikisha nchi yote, kumbuka crdb ilivyojaa wachaga.