Midimay
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 3,036
- 5,039
Makamu atokee kati ya maveteran waliowahi kuwa katika Wajumbe wa Baraza la Mawaziri, Wajumbe wa Baraza la Usalama wa Taifa, Sekretariat ya Baraza la Mawaziri, Sekretariat ya Baraza la Usalama wa Taifa.
Hii nafasi haitajiwi outsider. VP ni mtu ambaye kwa wadhifa wake atakuwa mjumbe wa Baraza la Mawaziri, Baraza la Usalama wa Taifa, Kamati Kuu ya Chama kinachotawala in this case CCM, Halmashauri Kuu ya Chama (CCM) na Consumer wa Taarifa za kiintelligensia.
Imagine akaletwa mtu ambaye ni mpya katika vikao vyote??
Hii nafasi haitajiwi outsider. VP ni mtu ambaye kwa wadhifa wake atakuwa mjumbe wa Baraza la Mawaziri, Baraza la Usalama wa Taifa, Kamati Kuu ya Chama kinachotawala in this case CCM, Halmashauri Kuu ya Chama (CCM) na Consumer wa Taarifa za kiintelligensia.
Imagine akaletwa mtu ambaye ni mpya katika vikao vyote??