Baada ya Kifo cha Rais Magufuli: Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais Tanzania?
Moshi mwingi sana wamama wamekusudia kukamata uongozi wa nchi hii kwa kishindo ni kama wanataka kulipiza kisasi kwa miaka mingi waliyokuwepo benchi.Na wanasema hakuna kama mama ,mibaba kibao imepita hawana jipya zaid ya kuota vitambi...
Jokate awe makamu wa rais? kwa hiyo Diamond na Mtela Mwampamba watakuwa wanaingia ikulu kama Guest za Sinza Mori.

IKULU NI MAHALI PATAKATIFU by J.K. Nyerere.
 
Nimesikia ni mzee Sumaye!
Anayebdilika kama kinyonga leo CCM kesho Chadema keshokutwa CCM mtondogoo sijui atakuwa CUF au wapi.

Anyway tatizo wazee wengi hawakujiandaa uraisi walikuwa mafisadi wa kutupwa wakasahau kuwa siasa ni safari unayptakiwa kujiandaa mapema na kwa muda mrefu kujilinda na mikashifa hasa ya kifisadi .Wengi hili waliopo hawakujali hada wazee waliona wao ndio wao

Makamu wa Raisi anatakiwa mtu clean sana hasa kwenye ufisadi asiwe fisadi kabisa iwe ardhi au chochote.Asiwe wa kunyooshewa kidole na ufisadi kuanzia day one.Kama tabia za kibinafsi haina shida ila sio ufisadi.Hilo hapana.

Gharama za kurudi tulikotoka ni kubwa na wanachi hawako tayari.

Raisi Samia Yuko Clean asijitose kuteua mijizi na mifisadi aanze kazi yeye ya kuhangaika kuisafisha mbele ya Jamii

Ateue mtu Clean
 
Moshi mwingi sana wamama wamekusudia kukamata uongozi wa nchi hii kwa kishindo ni kama wanataka kulipiza kisasi kwa miaka mingi waliyokuwepo benchi.Na wanasema hakuna kama mama ,mibaba kibao imepita hawana jipya zaid ya kuota vitambi...
Gogoki kasemaje kwani?
 
Moshi mwingi sana wamama wamekusudia kukamata uongozi wa nchi hii kwa kishindo ni kama wanataka kulipiza kisasi kwa miaka mingi waliyokuwepo benchi.Na wanasema hakuna kama mama ,mibaba kibao imepita hawana jipya zaid ya kuota vitambi...
kumbe ndiyo maana tigopesa wameongeza option ya tuma na ya kutolea
 
Thd imeandikwa kimipasho sana,

Hasa hapo kwenye "halo lalooo"
Kwani hukumsikia raisi alipowapasha pale Dodoma aliposema mimi ndio Raisi enhee alirudia ka mala mbili ,pale kuna watu huenda walipigwa dongo mchana kweupe.

Mi nawaaminia sana hawana kujificha katika kukupa ukweli na ndipo Tz inavyotakiwa yale mambo ya kulindana yamepitwa na wakati ,ukilinda unaondoka wewe mlinzi.
 
Asili ya wanawake hatupendani, hiyo haina kupinga. Kama mnadhani nadanganya 2025 mama samia agombee urais ntapata jibu.

Sasa hivi wanawake ukiwauliza maoni yao kuhusu samia watajibu kinafiki kuwa wanampenda coz katiba imempa cheo kirahisi.hakuna namna

Sasa wahoji wanawake pembeni majibu yao utachoka.
Wanawake tunajuana wenyewe😂 kimoyo moyo wanawake hawapendi kuongozwa na mwanamke mwenzao.

Hili litakuwa ni kosa la eva tangu mwanzo.
 
Sawa kabisa... Hakuna kitu manyani yamefanya miaka yote 60 ya uhuru..
 
Back
Top Bottom