Baada ya Kifo cha Rais Magufuli: Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais Tanzania?
Kigezo cha kuwa VPURT haijawahi kuwa uwezo. Kigezo kikubwa ni upande wa Muungano anaotokea na busara za kumsaidia Rais bila kumhujumu au kutamani kuwa na mamlaka ya Rais au Maarufu kuliko Rais au kutaka kumrithi Rais.
Hivyo ndio vigezo. Na ndio maana nashawishi nafasi hiyo apewe veteran mojawapo.
Kupewa Veteran ni muhimu, Rais wa JMT ni Mzanzibari, Rais wa Zanzibari na Makamu wake ni Wazanzibari.

Kama Rais wa JMT ni Mzanzibari, basi makamu wake awe wa bara na Mkristo kuweka usawa na kuondoa sintofahamu

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
 
Moshi mwingi sana wamama wamekusudia kukamata uongozi wa nchi hii kwa kishindo ni kama wanataka kulipiza kisasi kwa miaka mingi waliyokuwepo benchi. Na wanasema hakuna kama mama, mibaba kibao imepita hawana jipya zaid ya kuota vitambi

Na dimba hili litameza mpaka nafasi za wakuu wa seemu mbali mbali polisi jeshi usalama na hilo linasemwa litaanza kwa kumpata makamo wa kike

Na inasemwa zipo damu changa zinazochemka mfano yule wa Kisarawe ameonyesha usisimuaji mkubwa katika kuongoza indicator ipo ya manjano huenda ikawaka nyekundu au kijani..! CCM bana

Sasa ni gumzo wanawake wanatupaisha kiana

Halo halooo !
 
Haiwezekani lakini pia inawezekana.ila Mambo yatakuwa hayaendi asiwekwe mama haiwezekani mzee.me mwenyewe nitaandamana
 
Ni wakati wao
JamiiForums-254996487.jpg
 
Hilo sahau! Makamu wa Rais atakuwa ni Mwanaume. Na jina tayari tunalo. Bado tu jina kupelekwa Bungeni, kumuidhinisha na kumtangaza.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Ni sawa tu ilimradi katiba, sheria na taratibu zifuatwe, na sheria na taratibu mpya zisiwe kandamizi!
 
Moshi mwingi sana wamama wamekusudia kukamata uongozi wa nchi hii kwa kishindo ni kama wanataka kulipiza kisasi kwa miaka mingi waliyokuwepo benchi.Na wanasema hakuna kama mama ,mibaba kibao imepita hawana jipya zaid ya kuota vitambi.

Na dimba hili litameza mpaka nafasi za wakuu wa seemu mbali mbali polisi jeshi usalama na hilo linasemwa litaanza kwa kumpata makamo wa kike.
Na inasemwa zipo damu changa zinazochemka mfano yule wa Kisarawe ameonyesha usisimuaji mkubwa katika kuongoza indicator ipo ya manjano huenda ikawaka nyekundu au kijani..! CCM bana.

Sasa ni gumzo wanawake wanatupaisha kiana. halo halooo !
Sorry to say it will never happen. yes maybe kuna wanawake wengine but sio yule wa kisarawe. bado sana.
hiki cheo si cha shukrani
 
Haiwezekani lakini pia inawezekana.ila Mambo yatakuwa hayaendi asiwekwe mama haiwezekani mzee.me mwenyewe nitaandamana
Kama wanawake waliweza vumilia kipindi chote tena ndo wakiwa mitaji ya viongozi....basi nawewe vumilia tu
 
Back
Top Bottom