bulicheka 4
JF-Expert Member
- Mar 22, 2020
- 915
- 1,019
Kwa maneno mengine tutarajie badiliko la baraza la mawaziriTumuache Mama mwenyewe achague mtu ambaye anaweza kufanya naye kazi. Kisheria Raisi ndiye anachagua makamu. Hii ni kazi na sio kuchagua watu ovyo tu