Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Vipi kuhusu wasukuma mlivyo jazana kwenye sehemu zoote zenye ulaji ?Wachaga hawafai kuwapa nchi, wana ukabila sana, uyo kawajaza wachaga bank Crdb yote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi kuhusu wasukuma mlivyo jazana kwenye sehemu zoote zenye ulaji ?Wachaga hawafai kuwapa nchi, wana ukabila sana, uyo kawajaza wachaga bank Crdb yote
Tutaupinga kwa nguvu zote bila kujali itukadi. Makabila makubwa yametupa funzo kubwa kuyaamini tena tutakuwa tunarudia kosa la marehemu.Huu uzi ndo utatetewa hatar... subiri uone maana humu ndani waki wengi kweli na ndio wanaongoza kumponda hayati na ndio wanaongoza kusema Hayati aliligawa taifa, kisa tu % kubwa wao hawakuoata ulaji.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo statistics umezitoa wapi? Ona mnavyoshindwa kuficha agenda zenu za siri mnazozipigania hapa!Hatuwezi kuwaepuka kwani katika society zao 70% wanaelimu na wanahitajika katika Nyanja mbali mbali. Ma kabila mengi wenye elimu ni 30-50% ya kabila zima.
Mtaka umri wake ni miaka 38, na nafasi ya makamu wa rais inatakiwa kikatiba mtu awe na umri wa kuanzia miaka 40. Hivyo Mtaka hawezi kuteuliwa.
Ila mkuu kumbuka Makamu wa Rais anaweza kuwa Rais yakitokea mazingira kama ya sasa.Makamu wa raisi kwa tanzania ni useless ila ungesema labda waziri mkuu
Kwani kuna tundu lilizibwa ?Wachaga watang'aa ,,acha tumpe tuu,,wachaga tupumue.
Ukabila unaanza tena humu ndani wakitukana humu ndani mnalia Lia Acheni mada za kipuuziNa wachaga watajimilikisha nchi yote,kumbuka crdb ilivyojaa wachaga.
wachaga hawafai kuwa viongozi, wana ukabila sana, wacha wawe wafanyabiashara tu.
Kumbe na wewe umeona kama mimi. Kama ligi wachaga sasa hivi wanachezea daraja la nne. Wengi hawana vigezo vya elimu ni wajanja wajanja tu. Watu wa fekedesheeWACHAGA NI KATI YA MIKOA ILOPATA UPENDKEO MIAKA YA NYUMA,wakajiona wao nI bora zaidi ya wengine,,na ni wa binafsi wakubwa,,mfano mzuri ni benki ya CRDB na kimei,,Mbowe na chadema
Hata Behaviourist ni Mchaga ujueKumbe na wewe umeona kama mimi. Kama ligi wachaga sasa hivi wanachezea daraja la nne. Wengi hawana vigezo vya elimu ni wajanja wajanja tu. Watu wa fekedeshee
Kuna wachaga wenye hofu ya mungu na wanaoitakia mema TanzaniaHata Behaviourist ni Mchaga ujue