Baada ya Kifo cha Rais Magufuli: Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais Tanzania?
WACHAGA NI KATI YA MIKOA ILOPATA UPENDKEO MIAKA YA NYUMA,wakajiona wao nI bora zaidi ya wengine,,na ni wa binafsi wakubwa,,mfano mzuri ni benki ya CRDB na kimei,,Mbowe na chadema
Wachaga ni watani zangu na marafiki zangu wa karibu sana ila always wana ka ubinafsi flani ka asili. Yani jambo likiwa upande wao ni freshi hata kama linaumiza wengine they don't give a flying https://jamii.app/JFUserGuide.

Ila likiwa kwetu wao hawafaidiki ni walalamishi mno...yani style ile ile ya Mbowe 😂😂😂
 
Unafahamu kuwa mpaka unapata kazi bank ni lazima uwe na sifa. Kama nafasi imetangazwa na wenye sifa wote ni Wachaga basi waachwe?
Mnaenda mna sifa kuzidi mchaga ila atachukuliwa mchaga sababu ya system ya "KAMLETE" maana nyie ndio waasisi😁 nina mfano sahihi kabisa kuna dogo tulipiga nae chuo. Sie tuko Marketing yeye I.T ila kwa sasa yeye yupo kitengo cha Masoko CRDB amepewa zone kabisa ila sie tunaparangana mtaani.
 
Mara moja hii tumesahau shida ya Makabila Makubwa. Kimei ni mchaga nabtunajua alivyowajaza wachaga CRDB hadi leo wamewaelemea wengine. Mikopo ilikuwa rahisi kwa wachaga ndio maana majumba mengi Dar na Arusha ni yao.

Apana hatutaki, watauza nchi
Kama Nchi wameshindwa kuuza Wasukuma hao Wachagga hawataweza.
 
Kama mtu ana sifa zinazostahili apewe tuu haya mambo ya ukabila hayafai kabisa.
Ni kweli mkuu ila hatutaki watu wa kuhujumu mifumo kwa maslahi yao binafsi. We don't need such guys!
Wachaga wame prove hilo kwa miaka mingi. Ukimpa tobo tu la kulamba asali anachonga mzinga wake 😂 na anawaalika ndugu zake ukoo mzima wanajenga ki empire chao hapo ndipo wanapofeli.

Mshua kafungua kampuni flani 10 years ago walikuwa wapare wawili na mchaga mmoja ndio directors ila kwa sasa amebaki yeye na mchaga mmoja ambaye ndo director operations. Hali iliopo sasa yule mchaga ndio kamuweka mwanae anapiga kazi zote za logging documents na clearance...Wanaofanya stationery activities sijui kutoa copy kuscan na mambo mengine ni akina Manka. Yani wamejaa wajomba wa mchaga ofisi nzima. Wanaotumwa kwenye ma ICD ni wachaga.

Kuna kipindi nilienda nikawa nashinda ofisini kwa mshua mle. Kitu ambacho nilikiona nikasema hapana acha nikatafute maisha sehemu ingine! Ni kama walikuwa wanachukia mie kuwepo pale 😁 but all is well now. Nilisonga zangu mbele na niko mbali.
 
Ni kweli mkuu ila hatutaki watu wa kuhujumu mifumo kwa maslahi yao binafsi. We don't need such guys!
Wachaga wame prove hilo kwa miaka mingi. Ukimpa tobo tu la kulamba asali anachonga mzinga wake [emoji23] hapo ndipo wanapofeli.
Kwa hiyo bora Wasukuma sio? Heri ya hao Wachagga walikuwa wanakula na kila mtu kuliko hawa Wasukuma wanakula peke yao hata mabaki hawaachi.
 
Tangu JWTZ ishike asilimia kubwa ya majukumu ya kiulinzi naona uvujaji wa taarifa nyeti umekata kabisa, hata kwa yule waliemtegemea(Kigogo[emoji3]).Sasa hivi wwaty mmerudi kwenye kupiga ramliii tu. Hongera sana CDF Venance Mabeyo.
 
Kwa hiyo bora Wasukuma sio? Heri ya hao Wachagga walikuwa wanakula na kila mtu kuliko hawa Wasukuma wanakula peke yao hata mabaki hawaachi.
Tatizo sio la Wasukuma kula peke yao, ishu ni kuwa incharge alikuwa haruhusu reckless spending habit ambayo tuliizoea na wasukuma sio watu wa show off sana. Af sio watu wa kujenga jenga ovyo. Angekuwa mchaga ndani ya miaka mitano ya magu tu ungekuta wameotesha migorofa njia ya Mbezi- Kibaha kama hawana.akili.nzuri ila.kwa hela za wizi.

Sahizi watu wataanza kutamba sasa subiria msiba uishe.😁😁😁
 
Back
Top Bottom