mswaki mbuyu
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 708
- 445
Umepiga cha selemani msindi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wachaga ni watani zangu na marafiki zangu wa karibu sana ila always wana ka ubinafsi flani ka asili. Yani jambo likiwa upande wao ni freshi hata kama linaumiza wengine they don't give a flying https://jamii.app/JFUserGuide.WACHAGA NI KATI YA MIKOA ILOPATA UPENDKEO MIAKA YA NYUMA,wakajiona wao nI bora zaidi ya wengine,,na ni wa binafsi wakubwa,,mfano mzuri ni benki ya CRDB na kimei,,Mbowe na chadema
Mnaenda mna sifa kuzidi mchaga ila atachukuliwa mchaga sababu ya system ya "KAMLETE" maana nyie ndio waasisi😁 nina mfano sahihi kabisa kuna dogo tulipiga nae chuo. Sie tuko Marketing yeye I.T ila kwa sasa yeye yupo kitengo cha Masoko CRDB amepewa zone kabisa ila sie tunaparangana mtaani.Unafahamu kuwa mpaka unapata kazi bank ni lazima uwe na sifa. Kama nafasi imetangazwa na wenye sifa wote ni Wachaga basi waachwe?
Naona mambo mazuri hatariWachaga hawafai kuwapa nchi, wana ukabila sana, uyo kawajaza wachaga CR bank yote
Kama Nchi wameshindwa kuuza Wasukuma hao Wachagga hawataweza.Mara moja hii tumesahau shida ya Makabila Makubwa. Kimei ni mchaga nabtunajua alivyowajaza wachaga CRDB hadi leo wamewaelemea wengine. Mikopo ilikuwa rahisi kwa wachaga ndio maana majumba mengi Dar na Arusha ni yao.
Apana hatutaki, watauza nchi
Ni kweli mkuu ila hatutaki watu wa kuhujumu mifumo kwa maslahi yao binafsi. We don't need such guys!Kama mtu ana sifa zinazostahili apewe tuu haya mambo ya ukabila hayafai kabisa.
Kama msukuma kaingia ikulu kwann kimei ashindwe ? Msukuma angeiweza CRDB?Yaani unataka kufananisha CRDB na nchi???
Tuondolee inziAmbacho ninauhakika nacho, VP ni lazima atakuwa mgala.
Kwa hiyo bora Wasukuma sio? Heri ya hao Wachagga walikuwa wanakula na kila mtu kuliko hawa Wasukuma wanakula peke yao hata mabaki hawaachi.Ni kweli mkuu ila hatutaki watu wa kuhujumu mifumo kwa maslahi yao binafsi. We don't need such guys!
Wachaga wame prove hilo kwa miaka mingi. Ukimpa tobo tu la kulamba asali anachonga mzinga wake [emoji23] hapo ndipo wanapofeli.
Akili ndogoKwa wachaga hapana, wana ukabila, watagawana nchi.
Time will tell.Tuondolee inzi
Tatizo sio la Wasukuma kula peke yao, ishu ni kuwa incharge alikuwa haruhusu reckless spending habit ambayo tuliizoea na wasukuma sio watu wa show off sana. Af sio watu wa kujenga jenga ovyo. Angekuwa mchaga ndani ya miaka mitano ya magu tu ungekuta wameotesha migorofa njia ya Mbezi- Kibaha kama hawana.akili.nzuri ila.kwa hela za wizi.Kwa hiyo bora Wasukuma sio? Heri ya hao Wachagga walikuwa wanakula na kila mtu kuliko hawa Wasukuma wanakula peke yao hata mabaki hawaachi.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mchaga wa Chato!