Kipimo cha kuwa "kiongozi" ni kutangatanga, kujikomba, kuwa mnafiki na kuwazunguka viongozi wenzako?
Hicho kipimo cha uongozi kitakuwa na hitilafu kubwa.
Dunia ya siku hizi huwezi kufanikiwa kwa kujitenga mifumo yote Duniani inafanya kazi pamoja hivyo kwa watu wanajua na kuona mbali kujitenga ni kujirudisha nyuma mwenyewe. Kenyatta mfano ame sign mkatapa wa pesa za kujenga Highway kubwa EAC nzima ya juu kutoka Mombasa mpaka Nairobi $3B project. Vilevile kampuni nyingi za technologia ni za nchi nyingine kuanzia technologia za kilimo, simu na hata elimu. Wanasema Kikwete alikuwa anatanga hawajui wanalo ongea maana kasaidia sana mpaka sasa wakina Bill gates waliletwa na Kikwete na kuna mambo mengi sana hata ya usalama huwezi kufanya wenyewe. Hata Tanzania hizo world bank tunazoomba mkopo makao makuu yako wapi? IMF ? UN etc. Kujenga mahusiano ni kitu kizuri sana. Nchi inayo ongoza kwa kulima ni US na sisi tunategemea kilimo kwa mfano. Watalii wanao ongoza kuja Tanzania ni US na ndiyo ina ongoza kutuingizia pesa. Sasa kuna ubaya gani Magu akiwa na uhusiano mzuri na Trump kwa faida ya nchi. Haya ni mambo ya nchi sio Chama
"Prayer Breakfast"...hizi hizi zilimtoa kimasomaso Robert Ouko! Hivi pale Nyayo hamuwezi mkafanya breakfast na kusali hadi kufunga safari za kila mwaka?
Watu wa ajabu sana!