Baada ya kuapishwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi, Bashiru Ally alipaswa kwenda "rasmi" kuipa pole familia ya Balozi Kijazi. Huu ndio uungwana

Alikuwa anajaza fomu za maadili ya viongozi wa umma?
Hata hivyo kwa mtazamo mpana Sana hata wafanyakazi wa mabenki yote , hospital zote, makampuni ya simu na taasisi zingine zote za Aina hiyo
Wote ni watumishi wa umma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…