Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ipo sanaHivi hakuna namna ya yeye kuondoka pale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo sanaHivi hakuna namna ya yeye kuondoka pale
Binafsi Bunge loote sina Imani nalo tena, ni Bora waondoke wote tuanze upyaIpo sana
Bunge hili la Askofu gwajima hakiwezi kujadili suala hili kwa vile bado wengi wao wapo kwenye simanzi.Kwa kumbu kumbu zangu Ndugai alisema bungeni akiwa ktk kiti cha spika kwamba mradi wa Bagamoyo ni wa faida sana ameupitia kwa kina Mpaka huko China.
Baada ya muda mfupi Hayati akaukandia kwa kutoa nukuu ya vipengele kadhaa vya kiunyonyaji ambavyo sisi wananchi hatujui kama ni kweli au sivyo.Hapo ndipo Ndugai ikabidi atumie kanuni ya The boss is always right
Binafsi Siamini yale yaliyosemwa na JPM juu ya mradi huo wala yanayosemwa na wanaoutaka sasa Mpaka nipate "bahati"ya kusoma mkataba huo.
Serikali iruhusu mikataba yenye mivutano kama huu upelekwe bungeni kwa mjadala hapo sisi wananchi tutajua mbivu na mbichi
Katiba mpya ndo itakuja kuleta solution Tena Ile ya Jaji warioba sio ya Chenge.Mkuu ujue tunahasira nao sana
Haitakiwi kuwalaumu viongozi wa kipindi cha Jiwe wengi walitetea matumbo yao, hawakutaka kuacha kazi na kwenda kujiajiri, ila walisema vijana wa graduate tujiajiri.
Kama vipi Rais avunje Bunge turudi kwenye uchaguzi wa wabunge tu.Hivi hakuna namna ya yeye kuondoka pale
nalitaka hili hata leoKama vipi Rais avunje Bunge turudi kwenye uchaguzi wa wabunge tu.
Kama hayati JPM alishasema kwamba ni mwendawazimu mlevi pekee ndio anaweza kuyakubali msharti ya mkataba huo, na hayo masharti ameyataja wazi, sasa kama hayo masharti ni uongo hayapo humo, si waweke wazi huo mkataba ili tuone kama JPM alikuwa anawasingizia?Kwa kumbu kumbu zangu Ndugai alisema bungeni akiwa ktk kiti cha spika kwamba mradi wa Bagamoyo ni wa faida sana ameupitia kwa kina Mpaka huko China.
Baada ya muda mfupi Hayati akaukandia kwa kutoa nukuu ya vipengele kadhaa vya kiunyonyaji ambavyo sisi wananchi hatujui kama ni kweli au sivyo.Hapo ndipo Ndugai ikabidi atumie kanuni ya The boss is always right
Binafsi Siamini yale yaliyosemwa na JPM juu ya mradi huo wala yanayosemwa na wanaoutaka sasa Mpaka nipate "bahati"ya kusoma mkataba huo.
Serikali iruhusu mikataba yenye mivutano kama huu upelekwe bungeni kwa mjadala hapo sisi wananchi tutajua mbivu na mbichi
Mikataba yenye utata kama hii, ni mhimu Sana iwekwe mezani na kuchambuliwa Kwa uwaziKama hayati JPM alishasema kwamba ni mwendawazimu mlevi pekee ndio anaweza kuyakubali msharti ya mkataba huo, na hayo masharti ameyataja wazi, sasa kama hayo masharti ni uongo hayapo humo, si waweke wazi huo mkataba ili tuone kama JPM alikuwa anawasingizia?
Tunahitaji kufahamu hili piaHivi huyo siejii ametoa pia na taarifa ya matibabu ya huyo spika kweli kipindi kile wakati anaumwa??
Manake napo pesa zilizotumika nasikia ni balaa
Nyie si mlikuwa mnapiga kelele wapinzani kutolewa na uchaguzi wa kijinga kufanyika..nalitaka hili hata leo
Kwa kweli,asimwonee aliyetangualia mbele ya haki tu,hata walio hai nao tujue taarifa zao piaTunahitaji kufahamu hili pia
WATANZANIA TUSIRUDIE MAKOSA, TUKIREJEA MIKATABA YA GESI MTWARA KWA MUJIBU WA ZITTO KABWE TULIPIGWA PIAMikataba yenye utata kama hii, ni mhimu Sana iwekwe mezani na kuchambuliwa Kwa uwazi
Huyu hafai kabisaNdugai haeleweki anasimamia nn.Wakati wa Jpm alikuwa anashirikiana naye kukandamiza wabunge wanaohoji bungeni.leo kageuka
Turajuwaje Sisi, Kwa nini aseme Mkataba wake haufai tena? Yeye Hana msimamo? Tutajuaje, je kama aliahidiwa lupia ili aupige Kampeni bungeni??Hili la bandari mtamuenea tu speaker , pamoja na kwamba simpendi Ndugai lakin kwa hili hapana alishawahi liongelea bungeni kuwa huu mradi una faida nyingi kuliko hasara ,gafla mwenda zake akaanza kebeh juu ya mradi huo ,basi kwakuwa mkubwa ni mkubwa ikabid akubaliane nae tu kishingo upande lakin kwa hil job hakuweka unafki kabisa.
Hata Kama mtu Ana mapunguf basi asibebeshwe lawama pale anaposema ukwel ,job yuko sahihi kbs na kwahil ntampambania kabisa tofaut na wengine ambao hawakuwah sema lolote kipind uchwara akiwa hai