Baada ya kubainika ufisadi wa kutisha, anataka kujifichia kwenye Mradi Bandari ya Bagamoyo?

Baada ya kubainika ufisadi wa kutisha, anataka kujifichia kwenye Mradi Bandari ya Bagamoyo?

Kwa kumbu kumbu zangu Ndugai alisema bungeni akiwa ktk kiti cha spika kwamba mradi wa Bagamoyo ni wa faida sana ameupitia kwa kina Mpaka huko China.

Baada ya muda mfupi Hayati akaukandia kwa kutoa nukuu ya vipengele kadhaa vya kiunyonyaji ambavyo sisi wananchi hatujui kama ni kweli au sivyo.Hapo ndipo Ndugai ikabidi atumie kanuni ya The boss is always right

Binafsi Siamini yale yaliyosemwa na JPM juu ya mradi huo wala yanayosemwa na wanaoutaka sasa Mpaka nipate "bahati"ya kusoma mkataba huo.

Serikali iruhusu mikataba yenye mivutano kama huu upelekwe bungeni kwa mjadala hapo sisi wananchi tutajua mbivu na mbichi
Bunge hili la Askofu gwajima hakiwezi kujadili suala hili kwa vile bado wengi wao wapo kwenye simanzi.
 
Haitakiwi kuwalaumu viongozi wa kipindi cha Jiwe wengi walitetea matumbo yao, hawakutaka kuacha kazi na kwenda kujiajiri, ila walisema vijana wa graduate tujiajiri.
1617949007544.png
 
Kwa kumbu kumbu zangu Ndugai alisema bungeni akiwa ktk kiti cha spika kwamba mradi wa Bagamoyo ni wa faida sana ameupitia kwa kina Mpaka huko China.

Baada ya muda mfupi Hayati akaukandia kwa kutoa nukuu ya vipengele kadhaa vya kiunyonyaji ambavyo sisi wananchi hatujui kama ni kweli au sivyo.Hapo ndipo Ndugai ikabidi atumie kanuni ya The boss is always right

Binafsi Siamini yale yaliyosemwa na JPM juu ya mradi huo wala yanayosemwa na wanaoutaka sasa Mpaka nipate "bahati"ya kusoma mkataba huo.

Serikali iruhusu mikataba yenye mivutano kama huu upelekwe bungeni kwa mjadala hapo sisi wananchi tutajua mbivu na mbichi
Kama hayati JPM alishasema kwamba ni mwendawazimu mlevi pekee ndio anaweza kuyakubali msharti ya mkataba huo, na hayo masharti ameyataja wazi, sasa kama hayo masharti ni uongo hayapo humo, si waweke wazi huo mkataba ili tuone kama JPM alikuwa anawasingizia?
 
Kama hayati JPM alishasema kwamba ni mwendawazimu mlevi pekee ndio anaweza kuyakubali msharti ya mkataba huo, na hayo masharti ameyataja wazi, sasa kama hayo masharti ni uongo hayapo humo, si waweke wazi huo mkataba ili tuone kama JPM alikuwa anawasingizia?
Mikataba yenye utata kama hii, ni mhimu Sana iwekwe mezani na kuchambuliwa Kwa uwazi
 
Mikataba yenye utata kama hii, ni mhimu Sana iwekwe mezani na kuchambuliwa Kwa uwazi
WATANZANIA TUSIRUDIE MAKOSA, TUKIREJEA MIKATABA YA GESI MTWARA KWA MUJIBU WA ZITTO KABWE TULIPIGWA PIA
 
Hili la bandari mtamuenea tu speaker , pamoja na kwamba simpendi Ndugai lakin kwa hili hapana alishawahi liongelea bungeni kuwa huu mradi una faida nyingi kuliko hasara ,gafla mwenda zake akaanza kebeh juu ya mradi huo ,basi kwakuwa mkubwa ni mkubwa ikabid akubaliane nae tu kishingo upande lakin kwa hil job hakuweka unafki kabisa.

Hata Kama mtu Ana mapunguf basi asibebeshwe lawama pale anaposema ukwel ,job yuko sahihi kbs na kwahil ntampambania kabisa tofaut na wengine ambao hawakuwah sema lolote kipind uchwara akiwa hai
 
Mh Raisi, ni wakati muafaka sasa kulivunjilia mbali Bunge hili ambalo ni hasara tupu kwa Taifa , na likiachwa hivihivi, tutakuja tena kuandika hayahaya kipindi chako, maana hili Bunge halitimizi wajibu wake,
 
Hili la bandari mtamuenea tu speaker , pamoja na kwamba simpendi Ndugai lakin kwa hili hapana alishawahi liongelea bungeni kuwa huu mradi una faida nyingi kuliko hasara ,gafla mwenda zake akaanza kebeh juu ya mradi huo ,basi kwakuwa mkubwa ni mkubwa ikabid akubaliane nae tu kishingo upande lakin kwa hil job hakuweka unafki kabisa.

Hata Kama mtu Ana mapunguf basi asibebeshwe lawama pale anaposema ukwel ,job yuko sahihi kbs na kwahil ntampambania kabisa tofaut na wengine ambao hawakuwah sema lolote kipind uchwara akiwa hai
Turajuwaje Sisi, Kwa nini aseme Mkataba wake haufai tena? Yeye Hana msimamo? Tutajuaje, je kama aliahidiwa lupia ili aupige Kampeni bungeni??

Hapa ni Mkataba kuwekwa mezani Kwa kuchambuliwa basi
 
Back
Top Bottom