Mikataba mingapi ishawah pelekwa Bungeni ? Tuanzie hapo .
Watu wakitaka mkataba huu wa bagamaoyo upelekwe bungen litakuwa Jambo zuri ambapo wengine pia watahitaji mikataba yote sasa iwe waz kuanzia ununuz wa ndege ,ujenz wa uwanja wa ndege wa chato ,mikataba ya sgr .
Hapa Sasa ndipo utaona nyeti za watu wazwaz kuwa kumbe huyu hamna kitu huyu alikuwa sahihi.
Narudia tena hakuna mwanasiasa msafi hasa hawa wa tz ,nawashangaa sana wanaomwimba jiwe kuwa alikuwa shujaa ,yaan nashangaa sana sijui ni kutojua mambo yanavyoenda .
Jk ,mkapa ,na jiwe wote ni wez waliotukuka tena Bora hata jk alikuwa anaiba lakin anakumbuka na wananchi kidogo ila sio huyo jiwe ni alikuwa fisad wa kutupwa pia akawatesa wananchi wake kwa kujificha nyuma ya neno uzarendo ,kmmk