Ng'wale
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 4,690
- 3,399
Turudi kwenye uchaguzi? Wabunge wa CCM hawajipendi? Hawatakubali. Wengine waliingia mjengoni kwa mbeleko ya JPM.Binafsi Bunge loote sina Imani nalo tena, ni Bora waondoke wote tuanze upya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Turudi kwenye uchaguzi? Wabunge wa CCM hawajipendi? Hawatakubali. Wengine waliingia mjengoni kwa mbeleko ya JPM.Binafsi Bunge loote sina Imani nalo tena, ni Bora waondoke wote tuanze upya
Mkuu, tumechoshwa na ubutu wao, wanaleta hasara tupu, ni Bora Bunge likavunjwaTurudi kwenye uchaguzi? Wabunge wa CCM hawajipendi? Hawatakubali. Wengine waliingia mjengoni kwa mbeleko ya JPM.
Huyu Speaker wetu nadhani Haijapata kutokea wa namna hii toka Dunia hii iumbwe.. "Huyu Huyu Ndie alikuwa anasema Mwendazake Hatake Hasitake Hataongezewa Muda" Wenye ile Clip ebu tuwekeeni. Ni aibu sana Kwa CCM maana hii nafasi huyu mtu wetu Inampwaya sana...
Likivunjwa uchaguzi ukifanyika watakuja wabunge wa upinzani watucheleweshe maendeleo.nalitaka hili hata leo
Mnafiki Sana huyu mtuView attachment 1747384
Hiyo hapo
Uko sahihi kabisa mkuu, aisome PslmpHili la bandari mtamuenea tu speaker , pamoja na kwamba simpendi Ndugai lakin kwa hili hapana alishawahi liongelea bungeni kuwa huu mradi una faida nyingi kuliko hasara ,gafla mwenda zake akaanza kebeh juu ya mradi huo ,basi kwakuwa mkubwa ni mkubwa ikabid akubaliane nae tu kishingo upande lakin kwa hil job hakuweka unafki kabisa.
Hata Kama mtu Ana mapunguf basi asibebeshwe lawama pale anaposema ukwel ,job yuko sahihi kbs na kwahil ntampambania kabisa tofaut na wengine ambao hawakuwah sema lolote kipind uchwara akiwa hai
Mkuu umesahau hili ndilo bunge lililovunja record tangu vyama vingi vianze, "limeshinda kwa kishindo" hili ndilo bunge pendwa la CCM, mzee Meko aliyapenda haya ujue.Mh Raisi, ni wakati muafaka sasa kulivunjilia mbali Bunge hili ambalo ni hasara tupu kwa Taifa , na likiachwa hivihivi, tutakuja tena kuandika hayahaya kipindi chako, maana hili Bunge halitimizi wajibu wake,
Naomba tuwekee Hio Mikataba.Ukweli ni kuwa ukifanya comparison analysis ukiwa objectively kabisa kati ya mikataba iliyoingiwa wakati wa JK na ile ya wakati wa JPM utaona mikataba karibia yote ya wakati wa JK ilikuwa ya kipigaji kuliko ya wakati wa JPM.
Ni kweli Ndugai aliuongelea huu mradi toka siku nyingi akazimwa kuwa huenda kapewa Rushwa China.Kwa kumbukumbu zangu Ndugai alisema bungeni akiwa ktk kiti cha spika kwamba mradi wa Bagamoyo ni wa faida sana ameupitia kwa kina Mpaka huko China.
Baada ya muda mfupi Hayati akaukandia kwa kutoa nukuu ya vipengele kadhaa vya kiunyonyaji ambavyo sisi wananchi hatujui kama ni kweli au sivyo.Hapo ndipo Ndugai ikabidi atumie kanuni ya The boss is always right
Binafsi Siamini yale yaliyosemwa na JPM juu ya mradi huo wala yanayosemwa na wanaoutaka sasa Mpaka nipate "bahati"ya kusoma mkataba huo.
Serikali iruhusu mikataba yenye mivutano kama huu upelekwe bungeni kwa mjadala hapo sisi wananchi tutajua mbivu na mbichi
Tutajuaje usahihi wa JPM? Kwa nini JPM alipoongea hayo tulimuamini 100%? Kwa nini tusingepiga kelele mkataba uende bungeni tujiridhishe? Nadhani sasa tunaanza kuona makosa tuliyokua tunafanya ya kupiga vigelegele kila aliloongea JPM. Hii ilimfanya akawa anaongea kila analopenda kwa sababu hakukuwa na wa kumpinga.Turajuwaje Sisi, Kwa nini aseme Mkataba wake haufai tena? Yeye Hana msimamo? Tutajuaje, je kama aliahidiwa lupia ili aupige Kampeni bungeni??
Hapa ni Mkataba kuwekwa mezani Kwa kuchambuliwa basi
Ni kweli Ndugai aliuongelea huu mradi toka siku nyingi akazimwa kuwa huenda kapewa Rushwa China.
Ndugai na Wanamtandao wenzake wanajua fika kuwa huo mradi wa Bandari ya Bagamoyo ni wa KIUNYONYAJI, vipi leo anapata wapi ujasiri wa kusimama Bungeni na "kugeuka jiwe" na kuanza kuunadi na kuutetea mradi wa hovyo na wa kiunyonyaji kama huo? AU Wachina wamemweka :"sawa"?
Huyu ni sura halisi ya MCHUMIA TUMBO, ambaye anakwenda na "upepo"; na kwa akili yake, anadhani kesha jua na kufahamu "upepo" huu wa sasa hivi UNAVUMAJE? Ananchofanya ni kubahatisha tu, hivyo aangalie isije IKALA KWAKE!Ndugai Achomolewe, hatuna imani na Spika huyu