Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
Duniani kuna mambo nyie 😅😅🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikuwa natafuta hii comment.Ushaibiwa nyota yako,hizo pesa kachome moto
[emoji1787]Moto ushamuwakia tayarii
Oya VPNilikuwa natafuta hii comment.
Kwani huyo jeodevi ni nani hapo dar naona jina lake linatajwa tajwa humu ?Hili suala inabidi ukamuone nabii mkuu Geordavie[emoji209]
Sio kweliAlikuwa anataka mwanaume wa kumpa ujauzito.
Yupo Arusha ni nabii mkuu anagawa magariKwani huyo jeodevi ni nani hapo dar naona jina lake linatajwa tajwa humu ?
Ndo hivyo😅Nilikuwa natafuta hii comment.
Pole bahari kikubwa upo safe, songa mbeleHali vipi wana JF!
Niingie moja kwa moja kwenye kisa changu :
[emoji117]Nilipata mwanadada kama miezi mitatu hivi iliyopita 29 of age nikawa nakula nae gud time namtoa out kwenye viwanja vyetu vya bei ya kawaida,
[emoji117]Basi siku ya siku juzi jumamosi weekend tukaenda lodge moja hivi tukafanya yetu Ila asubuhi aliwahi kuondoka kabla yangu baadae naamka mzee nakuta laki moja mezani kuingia kwenye phone nakuta message inasomeka kama kwnye screenshot hapo chini[emoji116]
[emoji117]Sasa sijajua Huyu bidada tulijibishana message za mbili, hakujibu tena nadhani alinitia block maana Kila nilipo piga siku nilikuta inatumika
[emoji117]Sasa swali ni je hiyo laki kaacha ya nini [emoji117]hiyo message Ina maana gani?
Maana kama ni kupima ngwengwe(HIV na STD's zingine no nimekuta) fresh
Sasa wataalamu atakua na maana gani [emoji848]
View attachment 3216781
Hata kama alikuwa anaitaka, anajuaje kama imeingia kwa show ya siku mojaAtakuwa alitaka mimba… Just thinking.
🤣🤣🤣🤣🤣Ushaibiwa nyota yako,hizo pesa kachome moto