binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Atakuwa alikuwa kwenye ovulation, Japo hai guarantee mimba kutunga.Hata kama alikuwa anaitaka, anajuaje kama imeingia kwa show ya siku moja
Ndio maana nimesema najaribu kufikiri tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa alikuwa kwenye ovulation, Japo hai guarantee mimba kutunga.Hata kama alikuwa anaitaka, anajuaje kama imeingia kwa show ya siku moja
Kabisa hii adhabu ya kutokumpa mtu jibu huwa hiyo kitu inamtafuna mtu sana nina Ex-G mmoja huyo tulishindwana miaka miwili iliyopita kwa mara ya kwanza akaniandikia meseji ya matusi sikujibu, akatukana kwa meseji mfululizo kama 20+ sikujibu akakakaa kimya baada ya wiki mbili akaanza kuomba msamaha kwa matusi aliyonitukana sikujibu pia.Usingemjibu ungekausha, ukimya ni jibu la kimungu, ukikaa kimya mtu maswali yote huwa anajijibu mwenyewe
Hembu tushangae wote mkuu maana hata mimi nimesoma hapo nimekosa majibu aisee.Mdada anaamka anavaa anaiacha pesa mezani wewe uko usingizini bado,wenzetu mnalalaje hivyo ?
Ulalaji huo marinda yapo salama kweli?
Alikuwa anataka mbegu zako kama alivyoagizwa na Karumanzila.Hali vipi wana JF!
Niingie moja kwa moja kwenye kisa changu :
👉Nilipata mwanadada kama miezi mitatu hivi iliyopita 29 of age nikawa nakula nae gud time namtoa out kwenye viwanja vyetu vya bei ya kawaida,
👉Basi siku ya siku juzi jumamosi weekend tukaenda lodge moja hivi tukafanya yetu Ila asubuhi aliwahi kuondoka kabla yangu baadae naamka mzee nakuta laki moja mezani kuingia kwenye phone nakuta message inasomeka kama kwnye screenshot hapo chini👇
👉Sasa sijajua Huyu bidada tulijibishana message za mbili, hakujibu tena nadhani alinitia block maana Kila nilipo piga siku nilikuta inatumika
👉Sasa swali ni je hiyo laki kaacha ya nini 👉hiyo message Ina maana gani?
Maana kama ni kupima ngwengwe(HIV na STD's zingine no nimekuta) fresh
Sasa wataalamu atakua na maana gani 🤔
View attachment 3216781
nyota yako kaiba 😎Hali vipi wana JF!
Niingie moja kwa moja kwenye kisa changu :
👉Nilipata mwanadada kama miezi mitatu hivi iliyopita 29 of age nikawa nakula nae gud time namtoa out kwenye viwanja vyetu vya bei ya kawaida,
👉Basi siku ya siku juzi jumamosi weekend tukaenda lodge moja hivi tukafanya yetu Ila asubuhi aliwahi kuondoka kabla yangu baadae naamka mzee nakuta laki moja mezani kuingia kwenye phone nakuta message inasomeka kama kwnye screenshot hapo chini👇
👉Sasa sijajua Huyu bidada tulijibishana message za mbili, hakujibu tena nadhani alinitia block maana Kila nilipo piga siku nilikuta inatumika
👉Sasa swali ni je hiyo laki kaacha ya nini 👉hiyo message Ina maana gani?
Maana kama ni kupima ngwengwe(HIV na STD's zingine no nimekuta) fresh
Sasa wataalamu atakua na maana gani 🤔
View attachment 3216781
Amesha pata nyota yako pambana na hali yako. Or kirusi kimeshakuzagaaHali vipi wana JF!
Niingie moja kwa moja kwenye kisa changu :
👉Nilipata mwanadada kama miezi mitatu hivi iliyopita 29 of age nikawa nakula nae gud time namtoa out kwenye viwanja vyetu vya bei ya kawaida,
👉Basi siku ya siku juzi jumamosi weekend tukaenda lodge moja hivi tukafanya yetu Ila asubuhi aliwahi kuondoka kabla yangu baadae naamka mzee nakuta laki moja mezani kuingia kwenye phone nakuta message inasomeka kama kwnye screenshot hapo chini👇
👉Sasa sijajua Huyu bidada tulijibishana message za mbili, hakujibu tena nadhani alinitia block maana Kila nilipo piga siku nilikuta inatumika
👉Sasa swali ni je hiyo laki kaacha ya nini 👉hiyo message Ina maana gani?
Maana kama ni kupima ngwengwe(HIV na STD's zingine no nimekuta) fresh
Sasa wataalamu atakua na maana gani 🤔
View attachment 3216781
Bhebhe lekhaga bujinga shi ngaro 😔Alikupiga madole kwenye mixx by yas.
Mkuu ni tangu jumamosi manWahi kachukue zile dawa za kuzuia HIV infection haraka sana, utumie kabla ya masaa 72, fanya haraka kimbia ukipata hii message, nyoko wee
Kwamb kwashaungwa gridi ya taifaWahi kachukue zile dawa za kuzuia HIV infection haraka sana, utumie kabla ya masaa 72, fanya haraka kimbia ukipata hii message, nyoko wee
Japo mio muamini wa hayo mambo ya GoodluckUshaibiwa nyota yako,hizo pesa kachome moto
Mbona nimepima ni clear tu mzee tusubiri Sasa hzo three monthsNgwengwe inaanza kuonekana baada ya miezi mitatu sasa ufresh gani unauzungumzia.
VIjana mnaambiwa muache kufanya ngono ovyo ovyo....haya sasa Nyota yako ndio ishasepa ivo usipokuwa makini umaskini ndio hautakuacha.Hali vipi wana JF!
Niingie moja kwa moja kwenye kisa changu :
👉Nilipata mwanadada kama miezi mitatu hivi iliyopita 29 of age nikawa nakula nae gud time namtoa out kwenye viwanja vyetu vya bei ya kawaida,
👉Basi siku ya siku juzi jumamosi weekend tukaenda lodge moja hivi tukafanya yetu Ila asubuhi aliwahi kuondoka kabla yangu baadae naamka mzee nakuta laki moja mezani kuingia kwenye phone nakuta message inasomeka kama kwnye screenshot hapo chini👇
👉Sasa sijajua Huyu bidada tulijibishana message za mbili, hakujibu tena nadhani alinitia block maana Kila nilipo piga siku nilikuta inatumika
👉Sasa swali ni je hiyo laki kaacha ya nini 👉hiyo message Ina maana gani?
Maana kama ni kupima ngwengwe(HIV na STD's zingine no nimekuta) fresh
Sasa wataalamu atakua na maana gani 🤔
View attachment 3216781
Hili nalo neno mkuuAna shida na mimba labda alitegesha kaishipata, tuliza tu kwanza endelea na mambo Yako badae utajua ila Kwa Sasa usijisumbue.