Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo jamaa atakuwa member wa Boko haramHivi huyo jamaa aliempatia mimba Giggy mapesa ilikuwaje akaenda with no condomisation, nimgeni nahuyo Giggy?
Wengine miili yao ina ant virusHivi huyo jamaa aliempatia mimba Giggy mapesa ilikuwaje akaenda with no condomisation, nimgeni nahuyo Giggy?
Yake yeye aliyenayoMimba ya nani
Itakuwa ya muuza Papa (Samaki) mkuu.Mimba ya nani
Ni kauli ndogo ila yenye uhalisia... nasisitiza "KILA MTU ATAMUHESHIMU MWENZAKE"Mdogo mdogo kila mtu atamuheshimu mwenzake
Sasa hapo ndo umeandika nin na li kiswahili lako bovu.. shenzii kbsaWasanii wetu bado wana ujinga mwingi ndio maana baadhi ya wajuvi hutumia nafasi hii kuwaliza...
Hivi utadai vipi haki zako ikiwa hata vyombo husika havikutambui na hujafanya jitihada za kujisajili kama msanii?
Ni rahisi sana kumdhurumu msanii yeyote ambaye hajasajiliwa basata na wala hajakwenda kusajili kazi zake.....hata akienda mahakamani lazima ashindwe.....
Sukari ya warembo [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Ya Mondi
Ni msanii naeNamsubiri Faiza Ally hyo nd ananchefua mpk ndimu haifui dafu. Hapo nd ntasema Magufuli kweli ni benovalent dictotar!
Dah nimeona avatar haraka haraka nikajua n MeloMimi nachojua Gigi mahela ni mjasiriamwili, sasa mambo ya BASATA wapi na wapi?