Mr Alola
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 473
- 675
Ndimi mkuu. 😀😀😀Dah nimeona avatar haraka haraka nikajua n Melo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndimi mkuu. 😀😀😀Dah nimeona avatar haraka haraka nikajua n Melo
Aache kulewa
Giggy Money asema yeye ataongea na naibu waziri kama wanavyotaka. Anasema hakuna uhuru tena hakuna mtu anaweza kuwa na uhuru tena.
Pia Giggy Money anasema wamemjaji kwa picha ya March mwaka jana, na anasema wamemuambia kuwa tangu ameanza kuwa video queen alitakiwa ajitambulisha BASATA. Giggy anasema yeye hajawaahi kusiia haki ya video queen pamoja na kulia mara nyingi kila malipo madogo [elfu 20]
Inavyosemekana bado hajaitikia wito mpaka aonane na Naibu waziri japo BASATA amefika. Amesema kuwa "nilivyotakiwa kufanya leo nimejua na ninachotakiwa kufanya, bado hawanitambui kama msanii na nitajisajili"
Giggy asema hatachoka kufuatilia haki yake na ana uhakika ameacha kukaa nusu utupu kwa miaka miwili sasa. Ni tofauti kumjaji kwa mambo ya nyuma. Na watu wengi wamefanya mambo yao nyuma.
Giggy asema ana mimba ya miezi 7 sasa, na anashangaa kuambiwa kapiga picha ya utupu
"Kikubwa nadhani si nyimbo ni mimi kwa sababu kama ni nyimbo, nyimbo ngapi zina tungo tata? Mwanaume mashine unaelewa nini? Wowo? Na kila mtu anajua wowo ni makalio. Papa ni samaki, kwanini mtu ulazimishe iwe maana nyingine? Papa nimesema ni samaki. Haya wengine wanaimba nyuma laini kama burger, what do you get?"
Ya aliyebeba!!!![emoji12] [emoji12]Mimba ya nani
Eeehh mimba si kapewa na mwanaume.....[emoji15] [emoji15] [emoji15]Mimba ya nani
Lohhh mtapewa papa la sangara sasa jamani!Ila ule wimbo "nampa papa" ni mzuri sana!!
Wamuache atupe papa sisi...
Papa ni Papa tu kikubwa MUHOGO(ugali) uingie kimiani tu.Lohhh mtapewa papa la sangara sasa jamani!
Teh teh teh. Ebw eeh, usisitaajabu ya firauni ukayashangaa ya mussa?Hivi huyo jamaa aliempatia mimba Giggy mapesa ilikuwaje akaenda with no condomisation, nimgeni nahuyo Giggy?
Watashughulikia matatizo ya wasanii ilihali hawana uwezo huo?Yani badala ya kushughulika na changamoto zinazowakumba wasanii ili kukuza hiyo sekta wanakazania kuwafungia tu kila siku.
Huu ni upuuzi. Huyo Naibu waziri kama angekua ni mpenda maadili sana angeanza na yule mdogo wake ambae ni msagaji.
Hivi kwanza waziri mzima unapata wapi muda wa kuanza kufatilia nani kaposti nini mtandaon hao BASATA wanafanya kazi gani!!!!.
Halafu unafungia akina Gigi kwa kigezo Cha maadili huku unawapa kiki wale wabaka watoto.
Huu ni Upuuzi wa kiwango Cha SGR.
Lakini uwezo wa kuwalipia studio wabaka watoto wanao!!!! Si ndio!?Watashughulikia matatizo ya wasanii ilihali hawana uwezo huo?
Bongo watu wanachoweza ni kuzia hili na lile hawawezi kuboresha kitu.
Wimbo wa Rich Mavoko & Diamond- KOKORONyuma laini Kama burger?? Hizi nyimbo ndio maana huwa sizisikilizi