Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo sijuiLakini uwezo wa kuwalipia studio wabaka watoto wanao!!!! Si ndio!?
If you meant this, then you are very stupid!Safi sana BASATA huyu ni msanii wa kada ipi kwanza?
Usifananishe Wanyaturu na Vitu vya Kijinga....Gigy ni Mtu wa Mbeya.Kwani wewe gigi ulivyoitwa na waziri si ulidharau ukaenda benzutta,, Sasa unalia ni chango nimekubana nn,, tulia ngoja unyolewe ulimzarau waziri kwasbbu unapesa na unamzidi urefu wa kuruka sauth,,, pumbavuuu, Mnyaturu wa wapi Mtani Wangu
Faiza kile kichwa mkuu, kinajijua chenyeweeNamsubiri Faiza Ally hyo nd ananchefua mpk ndimu haifui dafu. Hapo nd ntasema Magufuli kweli ni benovalent dictotar!
Yani badala ya kushughulika na changamoto zinazowakumba wasanii ili kukuza hiyo sekta wanakazania kuwafungia tu kila siku.
Huu ni upuuzi. Huyo Naibu waziri kama angekua ni mpenda maadili sana angeanza na yule mdogo wake ambae ni msagaji.
Hivi kwanza waziri mzima unapata wapi muda wa kuanza kufatilia nani kaposti nini mtandaon hao BASATA wanafanya kazi gani!!!!.
Halafu unafungia akina Gigi kwa kigezo Cha maadili huku unawapa kiki wale wabaka watoto.
Huu ni Upuuzi wa kiwango Cha SGR.