Baada ya kufika BASATA na kuambiwa hawamtambui kama msanii, Giggy Money amwaga chozi na kusema hakuna uhuru tena!

Baada ya kufika BASATA na kuambiwa hawamtambui kama msanii, Giggy Money amwaga chozi na kusema hakuna uhuru tena!

Kuna huyu mwingine anaitwa Amba Lulu ni bingwa wa kukaa uchi serikali mmulikeni na huyu pia tumechoka kuangalia mapaja.
 
Me nadhani basata wanamwonea, ajira zenyewe ziko wapi? Walipaswa kuhakikisha hawakai uchi tu, ni kweli video zetu hazina staha lkn ishu ya papa ni ujinga tu wanaofanya basata. Yani na elimu yote waliyonayo wanadiscuss Papa? Wawaite Bakita basi km wanahitaji ufafanuzi. Km ni hivyo nyimbo nyingi zitakua shida maana Mzee yusufu alikua kazidi
 
Ni msanii nae
Msanii kwako maaana yake nini!? Then Nani kakwambia maadili ni kwa wasanii tu! "Jumuiya ya wazazi(c.c.m) simamieni maadili ya vijana wetu" Magufuri J. P.
Au mkaa uchi mwenzako ndio maaana unamtenganisha na kadhia hii...!?
 
Tuonane 2020 gigy money sijui utamchagua nani
 
Tuna matatizo sana sisi watanzania yaan huyo binti tunaona ndo malaya wa kutupwa wakati wengine mmeoa au mnamadada waliokua malaya wa kutupwa sema hawakupata media coverage kwa kipindi chao..wengine dada zenu wamezalishwa wako nyumbani tu na mnalea wajomba wasio na baba ila kutwa kuita wengine malaya ...kwa mm siwezi mshangaa gigy hiyo ndo life style yake na unaweza shangaa akaja badilika akatulia kuliko hata mkeo anaegawa uroda kwa wauza mkaa na nyama.Tusipende kuhukumu fikiria na ww je si malaya km umeshatembea zaidi ya wanawake sita ww si sawa na gigy tu .....acheni kashfa na kujiona nyinyi ni watakatifuuuuu
 
Wangewakanya tu, maisha haya mtu anaishi Kwa kubangaiza wasiwaminye zaidi.
 
Anadeka tuu, sasa Basata wakikwambia hawakutambui unalia?

Na wakikutambua wao na usikubalike na mashabiki ni kazi bure tu, wapo kibao wanatambulika na wanasota na Basata wanawaangalia tu, Mashabiki ndio kila kitu mummy.
 
Mimi binafsi inaniuma kwa serikali inachokifanya kuhusu hawa wadada maana siamini kama sitaona tena mapaja yalionona mitandaoni ...
Serikali haipendi wananchi wake tufaidu kabisa
 
Back
Top Bottom