Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Dola bilioni 10 za marekani!?? Yet still hana dola $150 za insurance....yeye hana personal account ya hela zake??
Hizo hela zimekaa huko zinafanya nini na yeye huku anaishi kihohehae??
Ni dollars million 10, siyo billion 10, alisema ni sawa na tz. 22billions.
 
baba yangu ni kachero mstaafu,anasema walikua nae kwenye mafunzo ya ukachero nchini urusi miaka kadhaa iliyopita
Kwa kweli. Ile ya kupelekwa rumande akiwa Hana waswas. Na kurudi uraiani. Waandishi wanamuuliza unatoka wapi. Anawajibu natoka polisi Central.
Yaan alivyojibu. Ni sawa na MTU anayesema natoka dukani.
 
Tangu awali sikutaka kumu underrate huyu dingi..something z hidden
 
Akili fupi ndio huwaza hvyo,,,panua akili mkuuu vitu vingne usiviingize kisiasaa
 
Ametuma sms kwa mabosi nipeni changu,

Spain mji wa Malaga ofisi CIA North Africa Operation zipo pale,
Hata counter terrarism operation za Niger,Nigeria,Libya,Morroco,Misri etc,misheni nyingi za africa ya kaskazin zinaanzia pale
 
Dr nayeye alijisahau sana uko urusi,atakukumbuka nyumbani kwao magu? Sometimes ndio maana watu tunapata mikosi...
 
Ametuma sms kwa mabosi nipeni changu,

Spain mji wa Malaga ofisi CIA North Africa Operation zipo pale,
Hata counter terrarism operation za Niger,Nigeria,Libya,Morroco,Misri etc,misheni nyingi za africa ya kaskazin zinaanzia pale
😡 πŸ™„ 😳 😱 Hmm!...
 
Ndio maana ana uhakika wa kununua ile mijengo,kumbe hela iko kwenye process!atapata hela yake,wamarekani wakisha kutumia kwenye mission kubwa kama hiyo lazima wakuwezeshe...
atawindwa na KGB hadi wammalize!

lolz....
 
Kwani Mkuu babu wa Loliondo nae ni spy?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…