Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Swali: Kwanini Dr Lous Shika amechanganyikiwa au ni mbinu za CCM ilitusahau tukio la Lissu?
Bado unawaza kuhusu Lissu?, huyo ni written off man, mdomo umeponza kichwa [emoji41]
 
Aiseee, hii ni njia ya kumrudisha barabarani tena Dr. Shika
Pole sana aisee!
 
Dr luis Shika akashika korodani na wale mbwa hawakubweka
Nb:muda ni mwalimu mkuu
 
Waandishi wa habari hawajui Ku peak up story. Hii ingekuwa story nzuri sana na western media wangezidi ku raise concern na condemnations to Russian gvt. Just wengi ni makanjanja.
Ningekuwa mwandishi ningemuhoji nakubaliana na dr kuhusu mapato na Dr na kupata story kamili nauza
 
Unajuaje jamaa pia ni miongoni mwao!??
 
Natamani mwandishi mwenye weredi kama Tido Mhando afanye nae mahojiano ya maswali ya kichunguzi. Tunaweza gundua mengi zaidi. Ila kuna kitu ndani yake anakificha na bahati mbaya wanaomhoji amewazidi sana akili so anacontrol maongezi anavyotaka yeye na wanashindwa kumchimba
 
kama vile ni agent wa CIA nikiunganisha dots

maana tuliambiwa/kuna uzi ulisema ubalozi wa tanzania ulimtelekeza lakini ubalozi wa marekani ulimtembelea akiwa hospitali kama sijakosea
Watu kama akina Dr ni hatari sana. Si wa kuchukulia poa
 
Naona kama siyo tetesi vileee...!!! Naona ni hali halisi
 
If all is true then nafikr maisha yake yamekuwa hatarin zaid kuliko mwanzo.
Ni kweli na amefanya kosa kuji expose...Warusi watamuwinda upya...

Katika hali ya kawaida ni ngumu kwa mtu wa kawaida kuweza kuvumilia mateso aliyopewa na bado akamudu kuwatoroka watejaji tena anaosema ni KGB...

Huyu mzee ni zaidi ya anavyojinasibu...

I am sorry ila kunauwezekano mkubwa sana Dr. akawa ni special agent ambaye ni well trained ila kwa sababu tusizozijua bado akili yake imetwist kidogo...
 

System yao ya adress
 

Attachments

  • IMG_20171115_201731.png
    36.6 KB · Views: 55
  • IMG_20171115_201810.png
    36.3 KB · Views: 51
Funguka Mkuu kuhusu huyo shemeja!!! Sbb namfahamu binti wa ki Tanga anaesomea huko jina lake linaanzia na herufi J ndo huyo Mkuu!??
 
Aisee, maneno mengi yanaungana na ukweli, ila in reality unawezaje kuwatoroka KGB kindezi ndezi kama alivyosema yeye?
Hapo ndio ujue kwamba dr.shika inawezekana sio mtu wa kumchukulia poa,

Wewe mtu kakatwa vidole na kupondwa lakini kaweza kutoroka unafikili mchezo!
 
Kwa maneno hayo tu, inaonesha Dr. Luis siyo wa mchezo, hasa hilo la kubana kengele ukimwona mbwa na kutomwangalia aliyelala.
Mkuu ulikuwa bize'nini! Katoa masomo mengi tu mbona
Hili la kutuliza mbwa wakali kwa kushika pumbuiz, haukusikia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…