Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Hii ni hadithi ama ni habari ambayo mwandishii anatakiwa aiweke hapa. naonama kama series sasa!!!
 
Unatulisha matango pori. Huyo kijana anaitwa Fuat Kurbanov na sio Max Kurbanov.
You are ignorant, Wewe ni mpumbavu, Jibu hoja kwa hoja, Ukweli hujibiwa kwa ukweli, Wewe unatoa povu hapa Jf na kutumia mdomo wako kufikiri badala ya kichwa ,Kama una hoja andika facts hapa, Hivi ulizaliwa ukiwa umelewa au? Umegeuka kuwa mlevi hapa badala ya kujibu hoja unasema sio kweli bila kutoa facts,

Kama una miaka zaidi ya 25 wewe una matatizo kwenye medula oblangata yako inakuwaje jitu zima unaleta mipasho badala ya kutoa hoja zako umekalia akili zako kusema sio kweli sio kweli shame on you
 
haha aisee
 
mkuu angalia majina uliyotaja na yaliyoandikwa

Mkuu,
Tunasubiri muendelezo wa stori tulinganishe na ya huyu mkimbizi aliyefungwa Marekani.

Only one involved a refugee: Fazliddin Kurbanov, an Uzbekistan national who was admitted to the U.S. in August 2009 and resettled in Boise, was arrested by federal agents at his Boise apartment on May 16, 2013, on terrorism charges after being indicted by Idaho and Utah grand juries.
Read more here: Are refugees a source of terrorism or crime? A fact check of ongoing fears and rumors
 
Naona mmealikana kuja kuharibu uzi wa mwenzenu, anzisheni wenu mtaeleweka!
Lengo sikuharibu uzi, ila ni kuonyesha tatizo...
Soon nitakuwekea reference kuanzia picha alizotumia mfano hiyo picha za ya huyo anayedai ni max nitakuwekea alipoitoa.
Amedai kafika eneo iliko hiyo nyumba Lukhovitsy japo yeye hata spelling kakosea ila hata kupiga picha hakupiga kaenda kuchukua picha toka mtandaoni ndiyo kawawekea.
Na hiyo ni guest house inaitwa Distantsiya iko hapo Lukhovitsy.
Na hakuna mtu anaitwa Falz kurbashnov hata utafute google hakuna mtu yoyote aliyewahi tuhumiwa ugaidi kwa hilo jina bali kuna Fazliddin Kurbanov ndiye mwenye scandal ambayo walau inataka kufanana na hii kitu.
Sasa jiulize kwanini hizi story za hawa watu haya majima hayana reference yoyote ina maana stories zao ndizo za siri sana kiasi kwamba huwezi pata redfrence kokote?
Hakuna tukio lolote la kigaidi au gaidi yoyote utakayemskia ukamtafuta mtandaoni usipate habari zake kasoro majina ya huyu mleta mada.
Any way enjoy the story.
Kumbuka siyo kwamba naharibu story ila hii ni forum na forum ni sehemu ambayo people debate na ku debate ni kutofautiana mawazo.
 
acha kudanganya wewe umeambiwa nyumba hiyo itaendelea kuwa matumiz yale yale for ever?
pili spelling unazosema zipi,
 
acha kudanganya wewe umeambiwa nyumba hiyo itaendelea kuwa matumiz yale yale for ever?
pili spelling unazosema zipi,
Kwa hiyo mkuu hata kupiga picha baada ya kufika hiyo sehemu hukupiga ulijua kuwa utazipata google.
Kuhusu spelling za mwanzo naona umerekebisha kwenye uzi wako
Yani unafanya research juu ya kitu lakini picha hupigi unaenda chukua picha ya mtandaoni?
Yani unajihangaisha unafunga safari mpaka eneo la tukio lakini picha hupigi unaenda chukua picha ya mtandaoni. Kweli?
Basi sawa
 
Watu wanabishana kwa fact, ikiwa unajua kitu weka tukusome sio unakuja na mipasho kama dada poa wa kimboka...[emoji31] [emoji31]
Huyu jamaa ni aina ya watu ambao hupenda popote alipo aonekane yeye ndiye anafahamu zaidi ya wengine, hujitahidi sana kupinga taarifa ya mwazilishi ili aonekane tu yuko juu. Wapo weeengi sana hasa hapa Jamiiforum
 
Hizi picha umepiga mwenyewe? Maelezo yako ni ya kutunga ambayo hata mtoto wa darasa la 5 anaweza kufanya. Ni shallow na hayana substance yoyote achlia mbali ushahidi. Picha umecopy toka google. Sasa kuhangaika kote huku sijui nia yako ni nini? Labda kujitafutia umaarufu JF?
 
wabongo hatupitwi kwa jambo lolote ,yani mtu atakupa historia ya maisha yako ambayo wewe mwenyewe huijui hii ni kali ,historia nyingi za hapa jf hua azina ukweli ndani yake,aingii akilini kwenda sehemu kupata historia ya mtu kwa ghafla raiya wa kawaida je ulitumia nguvu gani kupata haya yote kwa mda mchache kama huu,tango pori tamu kwa kina sisi tiliozoe kula kila tulicho kiona,hivi ndo afrika udidimia pabaya kwa maneno ya sio na msingi wowote kwa kuangazia vitu binafsi vya watu,na kwa kweli yale mambo muhum pia atujishuhulishi nayo
 
Halafu alivyo mpmbv eti anauliza, unanifahamu mimi!!! Yeye ni nani hadi afahamike humu!? Mtu maarufu kwa sasa Afrika ni Grace Mugabe tu
 
Acheni kutunga mambo nyie hao watu mmewatolea?

Duh ila hr666 ameharibu watu wengi sana
 
Watu wanaongea na Mungu na wamepiga kimya

Wewe mgonjwa nani akujue na watu wakujue ili iweje?
Kwa sababu huna unalosaidia to share hapa zaidi ya ubishi usioeleweka
Uyo dada kweli ni mgonjwa yeye analeta usista du anajidai kujua sana kumbe shoga tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…