Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

umeongea maneno mazuri na haitadhuru
 
Hata

Hili la kuteswa naanza kuliamini! Inasemekana Dr.Shika anamakovu yakutosha mwilini.
 
Mkuu huyu Mzee hajachanganyikiwa hata Chembe moja ..... Yaani hapo nitapingana na wewe Ukimsikia alivyowabana Polisi mpaka wameshindwa kumtuhumu na kuendelea kukaa naye mbali zaidi wamekubali ajidhamini bado unatia shakaa hapo????
 
Serikali ina mbinu nyingi za kuzima migogoro inayoendelea nchini kwa kuzua matukio yatakayokaa vichwani mwa watu.
 
Kwa taarifa chache nilizonazo ni kuwa balozi zetu nyingi hazifanyi kazi zake inavyotakiwa hata raia wakipata shida ama kure-quest chochote huweza kuchukua miaka mingi bila kusikia majibu yoyote toka kwao. Ni kama zipo kwaajili ya mambo fulani fulani machache tu. Nadhani tunahitaji seriousness katika hili.[/QUOTE]
Kama hii ya SA kazi yao ni kukusanya mapato......tuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…