Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Unapinga kwa kuropoka au? Kama ulilijua hilo basi ungejibu kwa facts na kuelezea historia kamili ya huyo Dr shika akiwa urusi, Watu story za hapa Tanzania wanazo wanafuatilia na kutaka kulinganisha anayoongea shika yana ukweli thats all

Hakuna story ya shika huko google, Pengine hata wewe hakuna story zako zaidi ya mambo ya Facebook registration
Mleta mada anatoa facts zake na wewe ungejibu facts zako kwa kuandika maisha ya shika huko urusi yalikuwaje
Sasa hapo ndipo penye utata..
Kwa maelezo yenu shika aliwahi kuwa mmiliki wa kampuni kubwa yenye private jets, assett n.k.
Hivi ni kampuni gani iliwahi kuwa kubwa ambayo zaidi ya tovuti mfu hakuna reference nyingine ya habari yake?
Watu wanaodai kuwa walikuwa wapambe/wenzake wake according na mleta thread wengine walikamatwa kwa makosa ya ugaidi.. hiyo ni story ya kukamatwa kwa kosa la ugaidi ukafungwa miaka 20, lazima huyo mtu habari zake ziwepo mtandaoni.
Yani there is no way kwa haya matukio na uwezo tunaoaminishwa wa hawa watu kusiwepo references zao.
Mimi ukinikosa kawaida sina tukio lolote kubwa lakini leo hii nikamatwe kwa kosa la ugaidi, references zangu zitakuwa kila mahali nimekupa mfano wa yule kijana mzenj aliyekamatwa kwa ugaidi akapelekwa Marekani ambapo mama yake mpaka leo analia hajui mwanae nini kinaendelea.
Sikatai kuwa Dr aliwahi ishi Urusi, lakini kuna mambo mengi yameongezwa chumvi..
 
Awe macho asije umbuliwa wiki hii. Maana kufika kesho kama hiyo hela itakuwa haijafika tanzania, tutajua ni utapeli wa kinijeria! britanicca tulianza na omukajunguti sasa utaishia kwa Dr Shika let’s wait and see
ILI LA BILIONEA KID SHIKA LILITUACHA MDOMO WAZI NDO MAANA KWAKUWA NIKO UKU NIKAJIPA TASK WEEKENDS KUJUA UNDANI, MAANA MTU WA KUSIMAMA AKASEMA 900 ITAPENDEZA BILA HELA HAIWEZEKANI,
Omukajunguti niliambiwa nifumbe mdomo na wakubwa,
 
Nimeshaacha watu walishwe matango pori. Mimi sipo.

Ingekua vizuri na wewe ungeweka hapa habari yako hili tujue lipi ni tango pori na hipi ni habari ya ukweli. Lakini ukiendelea kusema tunalishwa tango pori bila ya wewe kuthibitisha tutakuona kama mjinga flani au kichaa.
 
Wewe; ni vyema ukaacha kujifanya mjuaji. Lakini kama umeamua kuburudisha jukwaa basi endelea.
Sasa wewe unaemkosoa si uandike unachodhani ni sahihi? Kama anachoandika ni matango pori, basi wewe tuletee matango halisi. Vinginevyo na wewe utaonekana ni mbabaishaji tu.
 
Kwahiyo mnatuambia hiyo 50000 USD huko kwa Putin inakuletea bilioni 20!!.
Nimegoma kuamini
 
Kwahiyo mnatuambia hiyo 50000 USD huko kwa Putin inakuletea bilioni 20!!.
Nimegoma kuamini
 
Kama ni kweli nachojiuliza hizo dollar 5000 alizipata wapi akiwa shule....?
 
ILI LA BILIONEA KID SHIKA LILITUACHA MDOMO WAZI NDO MAANA KWAKUWA NIKO UKU NIKAJIPA TASK WEEKENDS KUJUA UNDANI, MAANA MTU WA KUSIMAMA AKASEMA 900 ITAPENDEZA BILA HELA HAIWEZEKANI,
Omukajunguti niliambiwa nifumbe mdomo na wakubwa,
Nadhani lingekuwa jambo la maana kutembelea Chuo alichosoma. Mahala alipoishi wakati anabangaiza , Mke wake na watoto kama wapo na kubwa zaidi mtafute Michael golbachov ambaye alikuwa ati Mwenyekiti wa Bodi . But nobody can trust your and his story
 
Nadhani lingekuwa jambo la maana kutembelea Chuo alichosoma. Mahala alipoishi wakati anabangaiza , Mke wake na watoto kama wapo na kubwa zaidi mtafute Michael golbachov ambaye alikuwa ati Mwenyekiti wa Bodi . But nobody can trust your and his story
next story
 
Back
Top Bottom