Elgibo
JF-Expert Member
- Oct 2, 2017
- 1,067
- 1,518
Huyo sehemu yake ni mirembe halichelewi kutukana halafu libishi huenda latokea Burundihaha sijabishana naee...nlitaka kumuondoa tu ugonjwa wke akaupeleke uko kwny jukwaa la magonjwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo sehemu yake ni mirembe halichelewi kutukana halafu libishi huenda latokea Burundihaha sijabishana naee...nlitaka kumuondoa tu ugonjwa wke akaupeleke uko kwny jukwaa la magonjwa
Na wewe andika kifundi chako tu, Kiswahili waachie wenyewe. "ligja" ndio nini?Ongea kiswahili tu mkuu unaharibu ligja za watu, gasing ndio umemaanisha nini
Awe macho asije umbuliwa wiki hii. Maana kufika kesho kama hiyo hela itakuwa haijafika tanzania, tutajua ni utapeli wa kinijeria! britanicca tulianza na omukajunguti sasa utaishia kwa Dr Shika let’s wait and seeDaaaah britanicca
Sasa hapo ndipo penye utata..Unapinga kwa kuropoka au? Kama ulilijua hilo basi ungejibu kwa facts na kuelezea historia kamili ya huyo Dr shika akiwa urusi, Watu story za hapa Tanzania wanazo wanafuatilia na kutaka kulinganisha anayoongea shika yana ukweli thats all
Hakuna story ya shika huko google, Pengine hata wewe hakuna story zako zaidi ya mambo ya Facebook registration
Mleta mada anatoa facts zake na wewe ungejibu facts zako kwa kuandika maisha ya shika huko urusi yalikuwaje
ILI LA BILIONEA KID SHIKA LILITUACHA MDOMO WAZI NDO MAANA KWAKUWA NIKO UKU NIKAJIPA TASK WEEKENDS KUJUA UNDANI, MAANA MTU WA KUSIMAMA AKASEMA 900 ITAPENDEZA BILA HELA HAIWEZEKANI,Awe macho asije umbuliwa wiki hii. Maana kufika kesho kama hiyo hela itakuwa haijafika tanzania, tutajua ni utapeli wa kinijeria! britanicca tulianza na omukajunguti sasa utaishia kwa Dr Shika let’s wait and see
Kama unayo matango ya kizungu ya weka hapa acha kuwa ndumi LA kuwili na kama wewe mwanaume na mashaka na wewe mana unamashauzi kama Dada yakoEndeleeni kuburudika. Ha ha ha, matango pori ni matamu sana.
Nimeshaacha watu walishwe matango pori. Mimi sipo.
Sasa wewe unaemkosoa si uandike unachodhani ni sahihi? Kama anachoandika ni matango pori, basi wewe tuletee matango halisi. Vinginevyo na wewe utaonekana ni mbabaishaji tu.Wewe; ni vyema ukaacha kujifanya mjuaji. Lakini kama umeamua kuburudisha jukwaa basi endelea.
Kwahiyo mnatuambia hiyo 50000 USD huko kwa Putin inakuletea bilioni 20!!.
Nimegoma kuamini
Mshaanza upuuzi wenu, fuckn question "unanijua mimi ni nani "wtf with tanzaniansSiyo ID yangu. Unanijua mimi ni nani?
Kwahiyo mnatuambia hiyo 50000 USD huko kwa Putin inakuletea bilioni 20!!.
Nimegoma kuamini
Huyu jamaa anatulisha kweli matango poriHana undugu na Falzliddin. Lakini nakuacha uendelee kuwalisha vijana wenzako matango pori.
Nadhani lingekuwa jambo la maana kutembelea Chuo alichosoma. Mahala alipoishi wakati anabangaiza , Mke wake na watoto kama wapo na kubwa zaidi mtafute Michael golbachov ambaye alikuwa ati Mwenyekiti wa Bodi . But nobody can trust your and his storyILI LA BILIONEA KID SHIKA LILITUACHA MDOMO WAZI NDO MAANA KWAKUWA NIKO UKU NIKAJIPA TASK WEEKENDS KUJUA UNDANI, MAANA MTU WA KUSIMAMA AKASEMA 900 ITAPENDEZA BILA HELA HAIWEZEKANI,
Omukajunguti niliambiwa nifumbe mdomo na wakubwa,
next storyNadhani lingekuwa jambo la maana kutembelea Chuo alichosoma. Mahala alipoishi wakati anabangaiza , Mke wake na watoto kama wapo na kubwa zaidi mtafute Michael golbachov ambaye alikuwa ati Mwenyekiti wa Bodi . But nobody can trust your and his story
Huyu bwana story zake haziaminiki kabisa anatuchanganyia madesa tuWewe; ni vyema ukaacha kujifanya mjuaji. Lakini kama umeamua kuburudisha jukwaa basi endelea.