Baada ya kufulia alikaa miezi sita akaniacha hata hivyo namshukuru

Baada ya kufulia alikaa miezi sita akaniacha hata hivyo namshukuru

Kweli Letina amekushika pabaya sana

 
Mimi napenda hela yangu kuliko mwanamke,
Kuna siku nipo bar akaja demu alikaa kwenye meza yangu. Akaagiza chakula na bia akaanza kujipigisha stori nikaletewa bill kwa wote. Nikamuuliza waiter hii bill mbona kubwa?. Akasema hio ya wote nikamwabia huyu simjui leta bill yangu tu. Manzi kabaki kutoa mimacho nikalala mbele[emoji1787]
Ha ha ha.... Mabinti wengi wadangaji ndo pigo zao hizo, bill za mseleleko hakuna[emoji4]
 
Mimi napenda hela yangu kuliko mwanamke,
Kuna siku nipo bar akaja demu alikaa kwenye meza yangu. Akaagiza chakula na bia akaanza kujipigisha stori nikaletewa bill kwa wote. Nikamuuliza waiter hii bill mbona kubwa?. Akasema hio ya wote nikamwabia huyu simjui leta bill yangu tu. Manzi kabaki kutoa mimacho nikalala mbele🤣
Yani mtu akufaham aje tu aagize kwa bill yako 😂😂😂
Hii chai si chai tena ni tea.
 
Narudia tena hela zangu zikiazangq kuingia utashanga mara mil 30 mara mil 40 mara mil 50 mara mara mil 80 ....yana nakuaga kama drug dealer kumbe mtu tu wa kariakoo
Naona bado kijana mdogo huna experience na maisha hata kidogo. Umepata fedha zikaanza kukupa uwehu fulani hivi.

Nakushauri tafuta kitabu cha 'Hekaya za Abunuwasi', usome hadithi ya 'Alinacha' halafu ndiyo uote hizo ndoto zako na pia urekebishe matarajio yako.

Be realistic man!
 
[emoji478][emoji478][emoji478][emoji478][emoji478][emoji261][emoji261]
FB_IMG_1677269029006.jpg
 
Mimi napenda hela yangu kuliko mwanamke,
Kuna siku nipo bar akaja demu alikaa kwenye meza yangu. Akaagiza chakula na bia akaanza kujipigisha stori nikaletewa bill kwa wote. Nikamuuliza waiter hii bill mbona kubwa?. Akasema hio ya wote nikamwabia huyu simjui leta bill yangu tu. Manzi kabaki kutoa mimacho nikalala mbele🤣
😃😃😃😃Ulifanya sawa mkuu.
 
Naona bado kijana mdogo huna experience na maisha hata kidogo. Umepata fedha zikaanza kukupa uwehu fulani hivi.

Nakushauri tafuta kitabu cha 'Hekaya za Abunuwasi', usome hadithi ya 'Alinacha' halafu ndiyo uote hizo ndoto zako na pia urekebishe matarajio yako.

Be realistic man!
Hela ni mipango kijana wengine nyota ipo nimesema nitarudi na uzi deal likitik ...hela ni exposure tu ...nimeshasafir sana so sio kwamba sina uhakika nina exposure kubwa na nchi ya china na wachina so kurudi mjini ni swala la muda wachina huwa wananipa mali kauli hata millioni 20 ...so exposure tu na connection
 
Mimi napenda hela yangu kuliko mwanamke,
Kuna siku nipo bar akaja demu alikaa kwenye meza yangu. Akaagiza chakula na bia akaanza kujipigisha stori nikaletewa bill kwa wote. Nikamuuliza waiter hii bill mbona kubwa?. Akasema hio ya wote nikamwabia huyu simjui leta bill yangu tu. Manzi kabaki kutoa mimacho nikalala mbele[emoji1787]

Savage maanina
 
Saikolojia haidanganyi hata siku moja.

Kinachoonekana hapa ni unatafuta hela ili umrudishe Letina wako. Kujidanganya kuwa utakuwa unamla na kumtomrudisha kamwe kwenye himaya yako ni utoto.

Mungu akusaidie upate hizo hela umrudishe mwanamke wa ndoto zako.

Acha utoto wa kujidai kuwa jamaa hana la kukufanya. Kukunyang'anya tu mwanamke ni hatua kubwa kwake. Unasema una bastola? Unajuaje yeye hana? Ukikutwa na Letina, utajinyea. Na bastola utakosa ulipoiweka.

Kwanza, unakosea. Silaha si kwa ajili ya kutafuta matatizo. Bali kujihami na matatizo. Tafuta hela, acha utoto.
Mkuu achoongea mtoa mada kipo,
Inategemea aliachwa ktk mazingira gan
Mimi binafs ishanitokea sema nishasamehe.

Binafs niliachwa na niliempenda sn sekondari uko, binti wa kihaya,Toto toto, yaani aliokua Ni mwanamke na nusu. Aisee nililia nusu kufa.

Imagine Mwanamke uliempenda sana,mnmedate tangu primary (ttulisoma wote sekondari na primary) anakutamkia "Deep tafuta Ela,umeisha fasheni, Mimi sio wa levo zako,,ukizipata nitafute tutaendelea kudate"

kisa kachaguliwa mshind wa 3 mashindano umiss wilaya Hapa dar, Kuna kisponsor flan kina duka la nguo kilkidhamini shindano kinamvisha na kumhonga vihela ananiona Kama takataka.

Mungu So athumani tukiwa form 5 akachaguliwa kushiriki miss tz, akawa anatoroka shule kwenda kambini Kwny mazoezi, mwezi hainekani shule.
siku ya siku waalimu wakamuona kwny tv tmatangazo ya promo za miss tz,akafukuzwa shule na hakurudi Tena

Kajiingiza kwny mitindo, nikaanza muona na wasanii,Mara bongo muvie,Mara Safar za nje. Baada ya wazazi wake kufariki karud kurisiti na kusomea tourism cert Hadi diploma.

Kipind anasoma alichakaa balaa na Mtoto keshazalishwa, afu Mimi ndo nmemaliza chuo Ni meneja wa baa ya mzee, Ela ndogo hazinipigi chenga na napush ndinga yangu ya kwanza (balloon).

Aisee nilikua najiskia Raha sn alivokua akijiliza nimsaidie shida zake Hasa Ela ya kula chuoni, nlimpa ikumuonyeshea na sikutaka kurudiana nae. Maana kwanza nikihisi keshaathirika jins alivokonda,vinyonyo vimelala, ngozi imefubaa

Nowdays tunaheshimiana Sana, tunawasiliana siku Moja Moja, skuhz kanawiri sn, alnambia alipata kazi ubalozi wa Denmark, kila mara haishi Safar za Dubai na ulaya haiishi.

Japo sahv Kuna wadau wanasema alkndanganya Ni punda, anasafirisha sembe, ubalozini keshaachishwa kazi tangu 2020.

Yupo na mwanae hajaolewa ila Sina mpango nae,tunaheshimiana tu[emoji4]
 
Yani mtu akufaham aje tu aagize kwa bill yako [emoji23][emoji23][emoji23]
Hii chai si chai tena ni tea.
Hizi zipo lovie,
Imenikuta kpind flan pale msamvu kuna night club Moja imechangamka Sana nilifika usiku wa manane (siikumbuki jina)

Sio kwamba binti anasema aagiziwe Kwa bill yako,Bali inatokea mhudumu aliemhuduMia mwanzo hajachukua Ela kwake,anakuta binti kahama meza na mmekaa wote,hivyo mhudumu anahisi wewe Ni mpenz wake na kuwaza kuiunganisha bill iwe Moja.

MDA huo mhudumu analeta bill binti anaona anainamisha KICHWA chini Kama hajui chochote kile ujiongeze kiume.

Asilimia kubwa mabint wa hivyo Ni wale makahaba wanaosaka wateja kwa kujiongeza kiivyo ili ushawishike chap,umlipie,umnyweshe mkalalane, usiende kwa mwingine[emoji4]
 
Rafiki yangu hana hela kama zako ,hana ujanja kama wako.Kafunga ndoa na kabinti kapolee na kastaarabu na wana mtoto mmoja wa kike.Mwaka jana ghafla tu kakaanza makankasha .Kakamwambia hakaoni future na hio ndoa.Kakaondoka nyumbani kanapigwa miti mpaka leo na muhuni wa mtaa huo huo aliopanga jamaa.Jamaa yangu kwa stress alizokuwa nazo walimkamatia Kibiti kwa kina mbosso khan kama mwehu.Dish bado halijakaa sawa.Na wewe utakuwa kama jamaa hayana ufundi,hayana formula,hupendwi na ukubaliane na hali halisi tu.
 
Back
Top Bottom