Baada ya kufulia alikaa miezi sita akaniacha hata hivyo namshukuru

Baada ya kufulia alikaa miezi sita akaniacha hata hivyo namshukuru

Hizi zipo lovie,
Imenikuta kpind flan pale msamvu kuna night club Moja imechangamka Sana (siikumbuki jina)

Sio kwamba binti anasema aagiziwe Kwan bill yako,Bali inatokea mhudumu aliemhuduMia mwanzo hajachukua Ela take,anakuta binti kahama meza mmekaa wote,hivyo mhudumu anahisi Ni mpenz wake na kuwaza kuunganisha bill.

MDA huo jamaa analeta bill binti anainamisha KICHWA Kama hajui chochote.

Asilimia kubwa mabint wa hivyo Ni makahaba wanaosaka wateja kwa kujiongeza kiivyo ili ushawishike chap usiende kwa mwingine[emoji4]
Mhhh hii ni mpya ndo mana wanarwafi kwa sabb ya upuuzi.
 
Anaumwa huyo mpiga dili nyeusi
Nilikosea kuandika afu sipigi deals nyeusi na piga white dealz only ....
Rafiki yangu hana hela kama zako ,hana ujanja kama wako.Kafunga ndoa na kabinti kapolee na kastaarabu na wana mtoto mmoja wa kike.Mwaka jana ghafla tu kakaanza makankasha .Kakamwambia hakaoni future na hio ndoa.Kakaondoka nyumbani kanapigwa miti mpaka leo na muhuni wa mtaa huo huo aliopanga jamaa.Jamaa yangu kwa stress alizokuwa nazo walimkamatia Kibiti kwa kina mbosso khan kama mwehu.Dish bado halijakaa sawa.Na wewe utakuwa kama jamaa hayana ufundi,hayana formula,hupendwi na ukubaliane na hali halisi tu.
Cee kiukweli najitahid sana dish lisiyumbe ndo maana hata kariakoo sasa hivi waliofunga maduka naona kama wananiletea kiwingu... pia nafanya mazoezi sana pia nawahi kulala nikiona silalali napiga diazapem aka valium maana sitak kuuchosha ubongo
 
  • Thanks
Reactions: EEX
Aisee pole sana... ila kosa ni kumuonesha kwamba unazo

Hapo kwenye kutegemea kupata 50 million sidhani kama ni kitu sahihi kukiweka wazi. Negative energy is real
 
napata ukakasi kuongea napoona mwanaume anatumia maneno 'basi bwana', ama hayuko sawa au saikolojia yangu ina tatizo!
 
Man use hiyo pain kupanda juu zaidi, alie kuacha wkt uko down huyo hawakuwa wako, basicaly the more unapanda kwenye maisha utakutana na wako.

For now funga mkanda, funga huo kurasa, restore uchumi wako. At someway akija rudi huyo bibie dont save her man dont you ever
Salute👊
 
sina mpango wa kumrudia letina nataka jamaa amuoe kabisa ili nianze kula akiwa ndoani na jamaa nitafanya ajue

haupo sawa. kwani kosa ni lake kuwa na huyo?!!!!
utajitafutia matatizo makuu acha waendelee na maisha yao.. ukidakwa shauri yako
Nishakwambia mimi sipigi deal nyeusi afu by the way nimekaa kariakoo miaka mingi ....additionally point kuweka mambo clear mimi ni mkinga

Vizuri unajiamini, Ila naamini katika mapito hayo kama ulivyosema umejifunza mengi na utazidi kuwa unajifunza usirudie makosa.

Napenda kujua zaidi hiyo additional point yako.. kuhusu kuwa mjinga.
 
Id yako
Kisa cha kweli nilikuwa na mpenzi ambae kwa tulipenda sana kwa jina lake letina cosmatiko mtoto huyu kaumbia pia mzuri mimi ashampoo huwa napenda mataka mtoto alikuwa nayo nilikutana posta huko mwaka 2017sura nayo nzuri sana

Sijisifii kila siku nawaambia mungu alinibariki nikashika hela nikiwa na miaka 22 tayari nikiwa chuo niliweza kuweka 50 million pale stanibic bank nikisoma IFM miaka hiyo nilikuwa hela kuwazidi hata malecturer baadhi hata mitihan nilinunua sana

Nilipanga apartment kali mitaa kisutu pale posta kiukweli nilifanya sana starehe biashara ilikuwa inalipa sasa katika pita pita zangu nikaja zama kwenye penzi la huyu letina kama kweli nilimpenda sana ila bila kumuonesha ila kwa kuwa hela ipo nilimpa kila kitu

Tulisafiri sana tulilala mahotel makubwa hadi laki tano kwa siku kiukweli mapenzi ukiwa na hela ni raha sana

Basi bwana kisanga kili anza mwaka 2019 december kuja 2020 biashara yangu yote ilitegemea kuagiza china kwa 100% corona ilivyokuja biashara iliyumba hadi ninavyoongea leo sijakaa sawa niliikuwa naingiza faida ya millioni 16 kwa mwezi hadin 20 faida ghafla nikaanza kuona 6 million mara 1 mara laki tano nikajua sina jinsi zaid ya kufunga

Madeni yakanizonga nikalipa baadhi ...mama angu mzazi akaumwa nikatumia kama 10 million kumtibu ni hakuna kitu akafarik ...mwezi mmoja baadae akaja dada angu nae akavuta nikawa nimeishiwa kabisa na wote nilitoa hela za matibabu

Nikahama kwenye apartment ambayo nilipenda sana nikaamia nje ya mji sababu ya ukata wa hela nilikuwa nalipa laki 9 kwa mwezi baba mwenye nyumba alikuwa boss wa serikalini roho nzuri mno nilimuuzia maheater ana AC zote nilizoweka mule

Sasa ikafika kipindi nikauza hadi gari langu la milion 22 kurudi kwenye business lakin wapi hasara hadi hela zikaisha moyoni nikajitangazia kuwa nimefulia sasa nikajua u uboss umeisha sasa

Hela za kodi zikaanza kusumbua hela za kula sometimez ila sijawahi muomba mtu hata siku huwa naamini katika mishe zangu narudia sijawahi muomba mtu hata nifulie vipi

Turudi kwa letina aliendelea kuwa na mimi na kuniheshimu hivyo hivyo heshima ilienda inashuka inashuka hadi juzi kati hapo kwa sababu kiukweli nilikuwa sina cha kumpa kama alivyozoea akaniacha niliumia sana ni mwezi akapata lijamaa lina vihela vikamzonga akaanza kufanya comparison nikaamua kumuacha kiukweli mimi ndo niliachwa nilijiwahi tu

Nashukuru alivumilia hata hiyo miezi sita maana hali niliyonayo hata mimi mwenyewe najivumilia basi tu.... baada ya kuachwa i almost lost my mind yaani nimeachwa hela sina hata kutafuta mwingine uwezo bado sina ashampoo kiukweli nimepatika


Nimeandika haya ili siku nikija kufanikiwa niwe na reference ...kuna deal nalicheza hapa nahisi kufikia mwezi wa saba nitapata 50 million hivi

Namuonea huruma aliyenipokonya letina na safari hii hela zikianza kuingia 1@ni mwendo wa kujenga apartment siji rudia mchezo wa kununua vi assset vya kishamba shamba nitaachia ma apartment tu uzuri mungu kanibariki bahati hela nyingi

Ila letina kaniuma jamani ilibaki kidogo nichanganyikiwe maana nilikuwa nashindwa kumove on sababu ya ukata lla bado nakidonda cha mapenzi ndo kimeanza kukaukaa kwa mbali

Wadau ushauri hata mtu akupende vipi kuna hali ikifika kama mwanaume hauvumiliki kabisa ataondoka huku anakupenda mapenzi bila hela sawa na chai bila sukari unaweza ukanywa ila chachu sana

Wadau nikianza kushika hela nitarudi tena nataka muwe mnanipa ushauri kuinvest kwenye vitu vya maana mwezenu kwa kuinvest kwenye vitu vya ajabu ajabu sijambo ila kupata hela kwangu huwa rahisi ila kuzifanya zikae ndo shida ...nimetoa tu story huu ni page moja ya maisha yangu

Mwezi sita nimeapa kumuumiza moyo jamaa maana nitakuwa nakula letina afu simrudii wala sina mpango wa kumrudia letina nataka jamaa amuoe kabisa ili nianze kula akiwa ndoani na jamaa nitafanya ajue

Nacha kunifanya wala kunifanya hana kipindi nikiwa na hela nilinunuaga bastola ....so hana la kunifanya hata akinifumania

Narudia tena hela zangu zikiazangq kuingia utashanga mara mil 30 mara mil 40 mara mil 50 mara mara mil 80 ....yana nakuaga kama drug dealer kumbe mtu tu wa kariakoo

My one page of my life 2023 ..nitarudi siku nyingine
Id yako ya Zamani humu jf ni ipi? hizo million 50 ulizoshika, na biashara hizo za kukupa 10m kwa mwezi huku upo chuo, nahis io ni chai Ashampoo burning
 
Kisa cha kweli nilikuwa na mpenzi ambae kwa tulipenda sana kwa jina lake letina cosmatiko mtoto huyu kaumbia pia mzuri mimi ashampoo huwa napenda mataka mtoto alikuwa nayo nilikutana posta huko mwaka 2017sura nayo nzuri sana

Sijisifii kila siku nawaambia mungu alinibariki nikashika hela nikiwa na miaka 22 tayari nikiwa chuo niliweza kuweka 50 million pale stanibic bank nikisoma IFM miaka hiyo nilikuwa hela kuwazidi hata malecturer baadhi hata mitihan nilinunua sana

Nilipanga apartment kali mitaa kisutu pale posta kiukweli nilifanya sana starehe biashara ilikuwa inalipa sasa katika pita pita zangu nikaja zama kwenye penzi la huyu letina kama kweli nilimpenda sana ila bila kumuonesha ila kwa kuwa hela ipo nilimpa kila kitu

Tulisafiri sana tulilala mahotel makubwa hadi laki tano kwa siku kiukweli mapenzi ukiwa na hela ni raha sana

Basi bwana kisanga kili anza mwaka 2019 december kuja 2020 biashara yangu yote ilitegemea kuagiza china kwa 100% corona ilivyokuja biashara iliyumba hadi ninavyoongea leo sijakaa sawa niliikuwa naingiza faida ya millioni 16 kwa mwezi hadin 20 faida ghafla nikaanza kuona 6 million mara 1 mara laki tano nikajua sina jinsi zaid ya kufunga

Madeni yakanizonga nikalipa baadhi ...mama angu mzazi akaumwa nikatumia kama 10 million kumtibu ni hakuna kitu akafarik ...mwezi mmoja baadae akaja dada angu nae akavuta nikawa nimeishiwa kabisa na wote nilitoa hela za matibabu

Nikahama kwenye apartment ambayo nilipenda sana nikaamia nje ya mji sababu ya ukata wa hela nilikuwa nalipa laki 9 kwa mwezi baba mwenye nyumba alikuwa boss wa serikalini roho nzuri mno nilimuuzia maheater ana AC zote nilizoweka mule

Sasa ikafika kipindi nikauza hadi gari langu la milion 22 kurudi kwenye business lakin wapi hasara hadi hela zikaisha moyoni nikajitangazia kuwa nimefulia sasa nikajua u uboss umeisha sasa

Hela za kodi zikaanza kusumbua hela za kula sometimez ila sijawahi muomba mtu hata siku huwa naamini katika mishe zangu narudia sijawahi muomba mtu hata nifulie vipi

Turudi kwa letina aliendelea kuwa na mimi na kuniheshimu hivyo hivyo heshima ilienda inashuka inashuka hadi juzi kati hapo kwa sababu kiukweli nilikuwa sina cha kumpa kama alivyozoea akaniacha niliumia sana ni mwezi akapata lijamaa lina vihela vikamzonga akaanza kufanya comparison nikaamua kumuacha kiukweli mimi ndo niliachwa nilijiwahi tu

Nashukuru alivumilia hata hiyo miezi sita maana hali niliyonayo hata mimi mwenyewe najivumilia basi tu.... baada ya kuachwa i almost lost my mind yaani nimeachwa hela sina hata kutafuta mwingine uwezo bado sina ashampoo kiukweli nimepatika


Nimeandika haya ili siku nikija kufanikiwa niwe na reference ...kuna deal nalicheza hapa nahisi kufikia mwezi wa saba nitapata 50 million hivi

Namuonea huruma aliyenipokonya letina na safari hii hela zikianza kuingia 1@ni mwendo wa kujenga apartment siji rudia mchezo wa kununua vi assset vya kishamba shamba nitaachia ma apartment tu uzuri mungu kanibariki bahati hela nyingi

Ila letina kaniuma jamani ilibaki kidogo nichanganyikiwe maana nilikuwa nashindwa kumove on sababu ya ukata lla bado nakidonda cha mapenzi ndo kimeanza kukaukaa kwa mbali

Wadau ushauri hata mtu akupende vipi kuna hali ikifika kama mwanaume hauvumiliki kabisa ataondoka huku anakupenda mapenzi bila hela sawa na chai bila sukari unaweza ukanywa ila chachu sana

Wadau nikianza kushika hela nitarudi tena nataka muwe mnanipa ushauri kuinvest kwenye vitu vya maana mwezenu kwa kuinvest kwenye vitu vya ajabu ajabu sijambo ila kupata hela kwangu huwa rahisi ila kuzifanya zikae ndo shida ...nimetoa tu story huu ni page moja ya maisha yangu

Mwezi sita nimeapa kumuumiza moyo jamaa maana nitakuwa nakula letina afu simrudii wala sina mpango wa kumrudia letina nataka jamaa amuoe kabisa ili nianze kula akiwa ndoani na jamaa nitafanya ajue

Nacha kunifanya wala kunifanya hana kipindi nikiwa na hela nilinunuaga bastola ....so hana la kunifanya hata akinifumania

Narudia tena hela zangu zikiazangq kuingia utashanga mara mil 30 mara mil 40 mara mil 50 mara mara mil 80 ....yana nakuaga kama drug dealer kumbe mtu tu wa kariakoo

My one page of my life 2023 ..nitarudi siku nyingine
Mkuu na mimi nshirikishe,nimechoka umaskini honestly
 
haupo sawa. kwani kosa ni lake kuwa na huyo?!!!!
utajitafutia matatizo makuu acha waendelee na maisha yao.. ukidakwa shauri yako


Vizuri unajiamini, Ila naamini katika mapito hayo kama ulivyosema umejifunza mengi na utazidi kuwa unajifunza usirudie makosa.

Napenda kujua zaidi hiyo additional point yako.. kuhusu kuwa mjinga.
Coco uwe unasoma vizuri..kasema ye ni mkinga [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom