TADPOLE
JF-Expert Member
- Nov 18, 2015
- 2,914
- 9,472
Mkuu labda hujawahi kwenda bar wewe! Hii kwa bar za uswazi ni kawaida sana yaaniYani mtu akufaham aje tu aagize kwa bill yako 😂😂😂
Hii chai si chai tena ni tea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu labda hujawahi kwenda bar wewe! Hii kwa bar za uswazi ni kawaida sana yaaniYani mtu akufaham aje tu aagize kwa bill yako 😂😂😂
Hii chai si chai tena ni tea.
Ukiachana na kuongea peke ako ...hii biashara ya gadget na accessories ipo kwenye mipango yangu taku tafuta siku nki maliza mambo yanguWadau mimi ni muuza gadgets so nachofanya nahakikisha naingia mikataba na maduka mikoani tunaamiana nawapa mzigo mali kauli ..... wanakuwa wanarudisha hela kwa siku sasa imagine tanzania nzima uwe na mikataba na mikoa yote 25.... na nilikuwa nawapa baadhi mizigo maalumu ili rahisi kuhesabu pia hata njia za kusaka wateja nilikuwa nawafudisha walinipenda sana nilikuwa na mawakal tanzania nzima
vijana acheni kuwa na vimelea vya kike, usitegemee nitakuchekea ukileta tabia za kibwawa, pumbavu, andika vizuri na usirudie tena kuandika kama mwanamke. Mwanamke tu ndo anaruhusiwa kutumia neno 'basi bwana' akiwa anaelezea kitu, pumbavu kabisa.Utakuja kugongwa sasa na saikojia yako
Maneno yenye UHAISaikolojia haidanganyi hata siku moja.
Kinachoonekana hapa ni unatafuta hela ili umrudishe Letina wako. Kujidanganya kuwa utakuwa unamla na kumtomrudisha kamwe kwenye himaya yako ni utoto.
Mungu akusaidie upate hizo hela umrudishe mwanamke wa ndoto zako.
Acha utoto wa kujidai kuwa jamaa hana la kukufanya. Kukunyang'anya tu mwanamke ni hatua kubwa kwake. Unasema una bastola? Unajuaje yeye hana? Ukikutwa na Letina, utajinyea. Na bastola utakosa ulipoiweka.
Kwanza, unakosea. Silaha si kwa ajili ya kutafuta matatizo. Bali kujihami na matatizo. Tafuta hela, acha utoto.
Acha ushamba amekwambia kuanzia December 2019 na 2020 wapi amesema 2018 unga wa ngano wewwMkuu Corona iliingia 2018 kweli?
Mkutano ulkua mnaz mmoja kiongozi,nakosaje Sasa[emoji1]Bro leo kariakoo kwenye mkutano ulikuwepo?
...Pata kwanza hizo Hela....Kisa cha kweli nilikuwa na mpenzi ambae kwa tulipenda sana kwa jina lake letina cosmatiko mtoto huyu kaumbia pia mzuri mimi ashampoo huwa napenda mataka mtoto alikuwa nayo nilikutana posta huko mwaka 2017sura nayo nzuri sana
Sijisifii kila siku nawaambia mungu alinibariki nikashika hela nikiwa na miaka 22 tayari nikiwa chuo niliweza kuweka 50 million pale stanibic bank nikisoma IFM miaka hiyo nilikuwa hela kuwazidi hata malecturer baadhi hata mitihan nilinunua sana
Nilipanga apartment kali mitaa kisutu pale posta kiukweli nilifanya sana starehe biashara ilikuwa inalipa sasa katika pita pita zangu nikaja zama kwenye penzi la huyu letina kama kweli nilimpenda sana ila bila kumuonesha ila kwa kuwa hela ipo nilimpa kila kitu
Tulisafiri sana tulilala mahotel makubwa hadi laki tano kwa siku kiukweli mapenzi ukiwa na hela ni raha sana
Basi bwana kisanga kili anza mwaka 2019 december kuja 2020 biashara yangu yote ilitegemea kuagiza china kwa 100% corona ilivyokuja biashara iliyumba hadi ninavyoongea leo sijakaa sawa niliikuwa naingiza faida ya millioni 16 kwa mwezi hadin 20 faida ghafla nikaanza kuona 6 million mara 1 mara laki tano nikajua sina jinsi zaid ya kufunga
Madeni yakanizonga nikalipa baadhi ...mama angu mzazi akaumwa nikatumia kama 10 million kumtibu ni hakuna kitu akafarik ...mwezi mmoja baadae akaja dada angu nae akavuta nikawa nimeishiwa kabisa na wote nilitoa hela za matibabu
Nikahama kwenye apartment ambayo nilipenda sana nikaamia nje ya mji sababu ya ukata wa hela nilikuwa nalipa laki 9 kwa mwezi baba mwenye nyumba alikuwa boss wa serikalini roho nzuri mno nilimuuzia maheater ana AC zote nilizoweka mule
Sasa ikafika kipindi nikauza hadi gari langu la milion 22 kurudi kwenye business lakin wapi hasara hadi hela zikaisha moyoni nikajitangazia kuwa nimefulia sasa nikajua u uboss umeisha sasa
Hela za kodi zikaanza kusumbua hela za kula sometimez ila sijawahi muomba mtu hata siku huwa naamini katika mishe zangu narudia sijawahi muomba mtu hata nifulie vipi
Turudi kwa letina aliendelea kuwa na mimi na kuniheshimu hivyo hivyo heshima ilienda inashuka inashuka hadi juzi kati hapo kwa sababu kiukweli nilikuwa sina cha kumpa kama alivyozoea akaniacha niliumia sana ni mwezi akapata lijamaa lina vihela vikamzonga akaanza kufanya comparison nikaamua kumuacha kiukweli mimi ndo niliachwa nilijiwahi tu
Nashukuru alivumilia hata hiyo miezi sita maana hali niliyonayo hata mimi mwenyewe najivumilia basi tu.... baada ya kuachwa i almost lost my mind yaani nimeachwa hela sina hata kutafuta mwingine uwezo bado sina ashampoo kiukweli nimepatika
Nimeandika haya ili siku nikija kufanikiwa niwe na reference ...kuna deal nalicheza hapa nahisi kufikia mwezi wa saba nitapata 50 million hivi
Namuonea huruma aliyenipokonya letina na safari hii hela zikianza kuingia 1@ni mwendo wa kujenga apartment siji rudia mchezo wa kununua vi assset vya kishamba shamba nitaachia ma apartment tu uzuri mungu kanibariki bahati hela nyingi
Ila letina kaniuma jamani ilibaki kidogo nichanganyikiwe maana nilikuwa nashindwa kumove on sababu ya ukata lla bado nakidonda cha mapenzi ndo kimeanza kukaukaa kwa mbali
Wadau ushauri hata mtu akupende vipi kuna hali ikifika kama mwanaume hauvumiliki kabisa ataondoka huku anakupenda mapenzi bila hela sawa na chai bila sukari unaweza ukanywa ila chachu sana
Wadau nikianza kushika hela nitarudi tena nataka muwe mnanipa ushauri kuinvest kwenye vitu vya maana mwezenu kwa kuinvest kwenye vitu vya ajabu ajabu sijambo ila kupata hela kwangu huwa rahisi ila kuzifanya zikae ndo shida ...nimetoa tu story huu ni page moja ya maisha yangu
Mwezi sita nimeapa kumuumiza moyo jamaa maana nitakuwa nakula letina afu simrudii wala sina mpango wa kumrudia letina nataka jamaa amuoe kabisa ili nianze kula akiwa ndoani na jamaa nitafanya ajue
Nacha kunifanya wala kunifanya hana kipindi nikiwa na hela nilinunuaga bastola ....so hana la kunifanya hata akinifumania
Narudia tena hela zangu zikiazangq kuingia utashanga mara mil 30 mara mil 40 mara mil 50 mara mara mil 80 ....yana nakuaga kama drug dealer kumbe mtu tu wa kariakoo
My one page of my life 2023 ..nitarudi siku nyingine
Soma VzrMkuu Corona iliingia 2018 kweli?
Ipo sana hiyo mkuu.Mkuu hilo la kwenda kunya umbali fulani,, nimeshuhudia maeneo ya mutukula ale mpakani mwa Tanzania na Uganda,, kuna jamaa alikua na vihela ila anahusishwa na ushirikina. Sasa bwana yule alikua akibanwa haja anakimbilia eneo ulipojengwa mnara wa mashujaaa,,na alipokua anaishi hadi hapo ulipo huo mnara ni kama 10km
Sema hizi sijawai kwenda bar za uswazi.Mkuu labda hujawahi kwenda bar wewe! Hii kwa bar za uswazi ni kawaida sana yaani
[emoji1787][emoji1787]Acha habari za letina angalia maisha mengine,anyway kuna uzi kule wa watu waliowahi kuzipata na kufirisika unaweza kwenda kuchangia
Mkuu mbona wanicheka kulikoni?[emoji1787][emoji1787]
Et akachangie kule Kwa waliofirisikaMkuu mbona wanicheka kulikoni?
Ahahahahha bagosha mwana waneMimi napenda hela yangu kuliko mwanamke,
Kuna siku nipo bar akaja demu alikaa kwenye meza yangu. Akaagiza chakula na bia akaanza kujipigisha stori nikaletewa bill kwa wote. Nikamuuliza waiter hii bill mbona kubwa?. Akasema hio ya wote nikamwabia huyu simjui leta bill yangu tu. Manzi kabaki kutoa mimacho nikalala mbele[emoji1787]