Baada ya kufulia alikaa miezi sita akaniacha hata hivyo namshukuru

Baada ya kufulia alikaa miezi sita akaniacha hata hivyo namshukuru

Sisi wenye vipato vya laki kwa mwezi tunaruhusiwa kukushauri
 
Kisa cha kweli nilikuwa na mpenzi ambae kwa tulipenda sana kwa jina lake letina cosmatiko mtoto huyu kaumbia pia mzuri mimi ashampoo huwa napenda mataka mtoto alikuwa nayo nilikutana posta huko mwaka 2017sura nayo nzuri sana

Sijisifii kila siku nawaambia mungu alinibariki nikashika hela nikiwa na miaka 22 tayari nikiwa chuo niliweza kuweka 50 million pale stanibic bank nikisoma IFM miaka hiyo nilikuwa hela kuwazidi hata malecturer baadhi hata mitihan nilinunua sana

Nilipanga apartment kali mitaa kisutu pale posta kiukweli nilifanya sana starehe biashara ilikuwa inalipa sasa katika pita pita zangu nikaja zama kwenye penzi la huyu letina kama kweli nilimpenda sana ila bila kumuonesha ila kwa kuwa hela ipo nilimpa kila kitu

Tulisafiri sana tulilala mahotel makubwa hadi laki tano kwa siku kiukweli mapenzi ukiwa na hela ni raha sana

Basi bwana kisanga kili anza mwaka 2019 december kuja 2020 biashara yangu yote ilitegemea kuagiza china kwa 100% corona ilivyokuja biashara iliyumba hadi ninavyoongea leo sijakaa sawa niliikuwa naingiza faida ya millioni 16 kwa mwezi hadin 20 faida ghafla nikaanza kuona 6 million mara 1 mara laki tano nikajua sina jinsi zaid ya kufunga

Madeni yakanizonga nikalipa baadhi ...mama angu mzazi akaumwa nikatumia kama 10 million kumtibu ni hakuna kitu akafarik ...mwezi mmoja baadae akaja dada angu nae akavuta nikawa nimeishiwa kabisa na wote nilitoa hela za matibabu

Nikahama kwenye apartment ambayo nilipenda sana nikaamia nje ya mji sababu ya ukata wa hela nilikuwa nalipa laki 9 kwa mwezi baba mwenye nyumba alikuwa boss wa serikalini roho nzuri mno nilimuuzia maheater ana AC zote nilizoweka mule

Sasa ikafika kipindi nikauza hadi gari langu la milion 22 kurudi kwenye business lakin wapi hasara hadi hela zikaisha moyoni nikajitangazia kuwa nimefulia sasa nikajua u uboss umeisha sasa

Hela za kodi zikaanza kusumbua hela za kula sometimez ila sijawahi muomba mtu hata siku huwa naamini katika mishe zangu narudia sijawahi muomba mtu hata nifulie vipi

Turudi kwa letina aliendelea kuwa na mimi na kuniheshimu hivyo hivyo heshima ilienda inashuka inashuka hadi juzi kati hapo kwa sababu kiukweli nilikuwa sina cha kumpa kama alivyozoea akaniacha niliumia sana ni mwezi akapata lijamaa lina vihela vikamzonga akaanza kufanya comparison nikaamua kumuacha kiukweli mimi ndo niliachwa nilijiwahi tu

Nashukuru alivumilia hata hiyo miezi sita maana hali niliyonayo hata mimi mwenyewe najivumilia basi tu.... baada ya kuachwa i almost lost my mind yaani nimeachwa hela sina hata kutafuta mwingine uwezo bado sina ashampoo kiukweli nimepatika


Nimeandika haya ili siku nikija kufanikiwa niwe na reference ...kuna deal nalicheza hapa nahisi kufikia mwezi wa saba nitapata 50 million hivi

Namuonea huruma aliyenipokonya letina na safari hii hela zikianza kuingia 1@ni mwendo wa kujenga apartment siji rudia mchezo wa kununua vi assset vya kishamba shamba nitaachia ma apartment tu uzuri mungu kanibariki bahati hela nyingi

Ila letina kaniuma jamani ilibaki kidogo nichanganyikiwe maana nilikuwa nashindwa kumove on sababu ya ukata lla bado nakidonda cha mapenzi ndo kimeanza kukaukaa kwa mbali

Wadau ushauri hata mtu akupende vipi kuna hali ikifika kama mwanaume hauvumiliki kabisa ataondoka huku anakupenda mapenzi bila hela sawa na chai bila sukari unaweza ukanywa ila chachu sana

Wadau nikianza kushika hela nitarudi tena nataka muwe mnanipa ushauri kuinvest kwenye vitu vya maana mwezenu kwa kuinvest kwenye vitu vya ajabu ajabu sijambo ila kupata hela kwangu huwa rahisi ila kuzifanya zikae ndo shida ...nimetoa tu story huu ni page moja ya maisha yangu

Mwezi sita nimeapa kumuumiza moyo jamaa maana nitakuwa nakula letina afu simrudii wala sina mpango wa kumrudia letina nataka jamaa amuoe kabisa ili nianze kula akiwa ndoani na jamaa nitafanya ajue

Nacha kunifanya wala kunifanya hana kipindi nikiwa na hela nilinunuaga bastola ....so hana la kunifanya hata akinifumania

Narudia tena hela zangu zikiazangq kuingia utashanga mara mil 30 mara mil 40 mara mil 50 mara mara mil 80 ....yana nakuaga kama drug dealer kumbe mtu tu wa kariakoo

My one page of my life 2023 ..nitarudi siku nyingine
Biashara gani yenye pesa hivyo?
 
Pole yako, upto hitherto I'm very much certain that you've learned your lesson the hard way.Go back to the drawing board and rectify where you've astray.
 
M
Mkuu achoongea mtoa mada kipo,
Inategemea aliachwa ktk mazingira gan
Mimi binafs ishanitokea sema nishasamehe.

Binafs niliachwa na niliempenda sn sekondari uko, binti wa kihaya,Toto toto, yaani aliokua Ni mwanamke na nusu. Aisee nililia nusu kufa.

Imagine Mwanamke uliempenda sana,mnmedate tangu primary (ttulisoma wote sekondari na primary) anakutamkia "Deep tafuta Ela,umeisha fasheni, Mimi sio wa levo zako,,ukizipata nitafute tutaendelea kudate"

kisa kachaguliwa mshind wa 3 mashindano umiss wilaya Hapa dar, Kuna kisponsor flan kina duka la nguo kilkidhamini shindano kinamvisha na kumhonga vihela ananiona Kama takataka.

Mungu So athumani tukiwa form 5 akachaguliwa kushiriki miss tz, akawa anatoroka shule kwenda kambini Kwny mazoezi, mwezi hainekani shule.
siku ya siku waalimu wakamuona kwny tv tmatangazo ya promo za miss tz,akafukuzwa shule na hakurudi Tena

Kajiingiza kwny mitindo, nikaanza muona na wasanii,Mara bongo muvie,Mara Safar za nje. Baada ya wazazi wake kufariki karud kurisiti na kusomea tourism cert Hadi diploma.

Kipind anasoma alichakaa balaa na Mtoto keshazalishwa, afu Mimi ndo nmemaliza chuo Ni meneja wa baa ya mzee, Ela ndogo hazinipigi chenga na napush ndinga yangu ya kwanza (balloon).

Aisee nilikua najiskia Raha sn alivokua akijiliza nimsaidie shida zake Hasa Ela ya kula chuoni, nlimpa ikumuonyeshea na sikutaka kurudiana nae. Maana kwanza nikihisi keshaathirika jins alivokonda,vinyonyo vimelala, ngozi imefubaa

Nowdays tunaheshimiana Sana, tunawasiliana siku Moja Moja, skuhz kanawiri sn, alnambia alipata kazi ubalozi wa Denmark, kila mara haishi Safar za Dubai na ulaya haiishi.

Japo sahv Kuna wadau wanasema alkndanganya Ni punda, anasafirisha sembe, ubalozini keshaachishwa kazi tangu 2020.

Yupo na mwanae hajaolewa ila Sina mpango nae,tunaheshimiana tu[emoji4]
Miss halafu anakuwa mwanamke na nusu? Mbona tushazoea mamiss huwa ni vimbaumbau wasio hata na misambwanda!! Au ulimaanisha yale mashindano ya miss bantu?
 
Leti anakaba na dume bila kupata mimbaa maana mpaka uje pata pesa kachakaaa...... Mambo ya kizamanii haya! Saivi pisi Kali kibaoooo.
 
Ndo hivi bhana mie nikikaaga na watu nawaambia sana..ukishika pesa ndefu kama umepanga kimbilia kujenga nyumba Yako...[emoji13][emoji1][emoji16]hawasikiiiii....wanakimbilia magari na papuchi....pesa ikikata kaishi kwenye papuchi[emoji1745][emoji1][emoji1]au kwny gari[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Kisa cha kweli nilikuwa na mpenzi ambae kwa tulipenda sana kwa jina lake letina cosmatiko mtoto huyu kaumbia pia mzuri mimi ashampoo huwa napenda mataka mtoto alikuwa nayo nilikutana posta huko mwaka 2017sura nayo nzuri sana

Sijisifii kila siku nawaambia mungu alinibariki nikashika hela nikiwa na miaka 22 tayari nikiwa chuo niliweza kuweka 50 million pale stanibic bank nikisoma IFM miaka hiyo nilikuwa hela kuwazidi hata malecturer baadhi hata mitihan nilinunua sana

Nilipanga apartment kali mitaa kisutu pale posta kiukweli nilifanya sana starehe biashara ilikuwa inalipa sasa katika pita pita zangu nikaja zama kwenye penzi la huyu letina kama kweli nilimpenda sana ila bila kumuonesha ila kwa kuwa hela ipo nilimpa kila kitu

Tulisafiri sana tulilala mahotel makubwa hadi laki tano kwa siku kiukweli mapenzi ukiwa na hela ni raha sana

Basi bwana kisanga kili anza mwaka 2019 december kuja 2020 biashara yangu yote ilitegemea kuagiza china kwa 100% corona ilivyokuja biashara iliyumba hadi ninavyoongea leo sijakaa sawa niliikuwa naingiza faida ya millioni 16 kwa mwezi hadin 20 faida ghafla nikaanza kuona 6 million mara 1 mara laki tano nikajua sina jinsi zaid ya kufunga

Madeni yakanizonga nikalipa baadhi ...mama angu mzazi akaumwa nikatumia kama 10 million kumtibu ni hakuna kitu akafarik ...mwezi mmoja baadae akaja dada angu nae akavuta nikawa nimeishiwa kabisa na wote nilitoa hela za matibabu

Nikahama kwenye apartment ambayo nilipenda sana nikaamia nje ya mji sababu ya ukata wa hela nilikuwa nalipa laki 9 kwa mwezi baba mwenye nyumba alikuwa boss wa serikalini roho nzuri mno nilimuuzia maheater ana AC zote nilizoweka mule

Sasa ikafika kipindi nikauza hadi gari langu la milion 22 kurudi kwenye business lakin wapi hasara hadi hela zikaisha moyoni nikajitangazia kuwa nimefulia sasa nikajua u uboss umeisha sasa

Hela za kodi zikaanza kusumbua hela za kula sometimez ila sijawahi muomba mtu hata siku huwa naamini katika mishe zangu narudia sijawahi muomba mtu hata nifulie vipi

Turudi kwa letina aliendelea kuwa na mimi na kuniheshimu hivyo hivyo heshima ilienda inashuka inashuka hadi juzi kati hapo kwa sababu kiukweli nilikuwa sina cha kumpa kama alivyozoea akaniacha niliumia sana ni mwezi akapata lijamaa lina vihela vikamzonga akaanza kufanya comparison nikaamua kumuacha kiukweli mimi ndo niliachwa nilijiwahi tu

Nashukuru alivumilia hata hiyo miezi sita maana hali niliyonayo hata mimi mwenyewe najivumilia basi tu.... baada ya kuachwa i almost lost my mind yaani nimeachwa hela sina hata kutafuta mwingine uwezo bado sina ashampoo kiukweli nimepatika


Nimeandika haya ili siku nikija kufanikiwa niwe na reference ...kuna deal nalicheza hapa nahisi kufikia mwezi wa saba nitapata 50 million hivi

Namuonea huruma aliyenipokonya letina na safari hii hela zikianza kuingia 1@ni mwendo wa kujenga apartment siji rudia mchezo wa kununua vi assset vya kishamba shamba nitaachia ma apartment tu uzuri mungu kanibariki bahati hela nyingi

Ila letina kaniuma jamani ilibaki kidogo nichanganyikiwe maana nilikuwa nashindwa kumove on sababu ya ukata lla bado nakidonda cha mapenzi ndo kimeanza kukaukaa kwa mbali

Wadau ushauri hata mtu akupende vipi kuna hali ikifika kama mwanaume hauvumiliki kabisa ataondoka huku anakupenda mapenzi bila hela sawa na chai bila sukari unaweza ukanywa ila chachu sana

Wadau nikianza kushika hela nitarudi tena nataka muwe mnanipa ushauri kuinvest kwenye vitu vya maana mwezenu kwa kuinvest kwenye vitu vya ajabu ajabu sijambo ila kupata hela kwangu huwa rahisi ila kuzifanya zikae ndo shida ...nimetoa tu story huu ni page moja ya maisha yangu

Mwezi sita nimeapa kumuumiza moyo jamaa maana nitakuwa nakula letina afu simrudii wala sina mpango wa kumrudia letina nataka jamaa amuoe kabisa ili nianze kula akiwa ndoani na jamaa nitafanya ajue

Nacha kunifanya wala kunifanya hana kipindi nikiwa na hela nilinunuaga bastola ....so hana la kunifanya hata akinifumania

Narudia tena hela zangu zikiazangq kuingia utashanga mara mil 30 mara mil 40 mara mil 50 mara mara mil 80 ....yana nakuaga kama drug dealer kumbe mtu tu wa kariakoo

My one page of my life 2023 ..nitarudi siku nyingine
Mkuu mwezi wa saba bado week mbili hela iingie nakusubiria
 
Ndo hivi bhana mie nikikaaga na watu nawaambia sana..ukishika pesa ndefu kama umepanga kimbilia kujenga nyumba Yako...[emoji13][emoji1][emoji16]hawasikiiiii....wanakimbilia magari na papuchi....pesa ikikata kaishi kwenye papuchi[emoji1745][emoji1][emoji1]au kwny gari[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Na pesa ikiingia akili Huwa inaondoka
 
Back
Top Bottom