Saikolojia haidanganyi hata siku moja.
Kinachoonekana hapa ni unatafuta hela ili umrudishe Letina wako. Kujidanganya kuwa utakuwa unamla na kumtomrudisha kamwe kwenye himaya yako ni utoto.
Mungu akusaidie upate hizo hela umrudishe mwanamke wa ndoto zako.
Acha utoto wa kujidai kuwa jamaa hana la kukufanya. Kukunyang'anya tu mwanamke ni hatua kubwa kwake. Unasema una bastola? Unajuaje yeye hana? Ukikutwa na Letina, utajinyea. Na bastola utakosa ulipoiweka.
Kwanza, unakosea. Silaha si kwa ajili ya kutafuta matatizo. Bali kujihami na matatizo. Tafuta hela, acha utoto.
Mkuu achoongea mtoa mada kipo,
Inategemea aliachwa ktk mazingira gan
Mimi binafs ishanitokea sema nishasamehe.
Binafs niliachwa na niliempenda sn sekondari uko, binti wa kihaya,Toto toto, yaani aliokua Ni mwanamke na nusu. Aisee nililia nusu kufa.
Imagine Mwanamke uliempenda sana,mnmedate tangu primary (ttulisoma wote sekondari na primary) anakutamkia "Deep tafuta Ela,umeisha fasheni, Mimi sio wa levo zako,,ukizipata nitafute tutaendelea kudate"
kisa kachaguliwa mshind wa 3 mashindano umiss wilaya Hapa dar, Kuna kisponsor flan kina duka la nguo kilkidhamini shindano kinamvisha na kumhonga vihela ananiona Kama takataka.
Mungu So athumani tukiwa form 5 akachaguliwa kushiriki miss tz, akawa anatoroka shule kwenda kambini Kwny mazoezi, mwezi hainekani shule.
siku ya siku waalimu wakamuona kwny tv tmatangazo ya promo za miss tz,akafukuzwa shule na hakurudi Tena
Kajiingiza kwny mitindo, nikaanza muona na wasanii,Mara bongo muvie,Mara Safar za nje. Baada ya wazazi wake kufariki karud kurisiti na kusomea tourism cert Hadi diploma.
Kipind anasoma alichakaa balaa na Mtoto keshazalishwa, afu Mimi ndo nmemaliza chuo Ni meneja wa baa ya mzee, Ela ndogo hazinipigi chenga na napush ndinga yangu ya kwanza (balloon).
Aisee nilikua najiskia Raha sn alivokua akijiliza nimsaidie shida zake Hasa Ela ya kula chuoni, nlimpa ikumuonyeshea na sikutaka kurudiana nae. Maana kwanza nikihisi keshaathirika jins alivokonda,vinyonyo vimelala, ngozi imefubaa
Nowdays tunaheshimiana Sana, tunawasiliana siku Moja Moja, skuhz kanawiri sn, alnambia alipata kazi ubalozi wa Denmark, kila mara haishi Safar za Dubai na ulaya haiishi.
Japo sahv Kuna wadau wanasema alkndanganya Ni punda, anasafirisha sembe, ubalozini keshaachishwa kazi tangu 2020.
Yupo na mwanae hajaolewa ila Sina mpango nae,tunaheshimiana tu[emoji4]