Baada ya kufulia alikaa miezi sita akaniacha hata hivyo namshukuru

Mhhh hii ni mpya ndo mana wanarwafi kwa sabb ya upuuzi.
 
Anaumwa huyo mpiga dili nyeusi
Nilikosea kuandika afu sipigi deals nyeusi na piga white dealz only ....
Cee kiukweli najitahid sana dish lisiyumbe ndo maana hata kariakoo sasa hivi waliofunga maduka naona kama wananiletea kiwingu... pia nafanya mazoezi sana pia nawahi kulala nikiona silalali napiga diazapem aka valium maana sitak kuuchosha ubongo
 
Reactions: EEX
Aisee pole sana... ila kosa ni kumuonesha kwamba unazo

Hapo kwenye kutegemea kupata 50 million sidhani kama ni kitu sahihi kukiweka wazi. Negative energy is real
 
napata ukakasi kuongea napoona mwanaume anatumia maneno 'basi bwana', ama hayuko sawa au saikolojia yangu ina tatizo!
 
Salute👊
 
sina mpango wa kumrudia letina nataka jamaa amuoe kabisa ili nianze kula akiwa ndoani na jamaa nitafanya ajue

haupo sawa. kwani kosa ni lake kuwa na huyo?!!!!
utajitafutia matatizo makuu acha waendelee na maisha yao.. ukidakwa shauri yako
Nishakwambia mimi sipigi deal nyeusi afu by the way nimekaa kariakoo miaka mingi ....additionally point kuweka mambo clear mimi ni mkinga

Vizuri unajiamini, Ila naamini katika mapito hayo kama ulivyosema umejifunza mengi na utazidi kuwa unajifunza usirudie makosa.

Napenda kujua zaidi hiyo additional point yako.. kuhusu kuwa mjinga.
 
Id yako
Id yako ya Zamani humu jf ni ipi? hizo million 50 ulizoshika, na biashara hizo za kukupa 10m kwa mwezi huku upo chuo, nahis io ni chai Ashampoo burning
 
Mkuu na mimi nshirikishe,nimechoka umaskini honestly
 
Coco uwe unasoma vizuri..kasema ye ni mkinga [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…