Baada ya kufulia alikaa miezi sita akaniacha hata hivyo namshukuru

Yani mtu akufaham aje tu aagize kwa bill yako πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hii chai si chai tena ni tea.
Mkuu labda hujawahi kwenda bar wewe! Hii kwa bar za uswazi ni kawaida sana yaani
 
Ukiachana na kuongea peke ako ...hii biashara ya gadget na accessories ipo kwenye mipango yangu taku tafuta siku nki maliza mambo yangu
 
Tafuta peas move on na maisha yako achana na visasi vya kijinga eti nitafanya ajue, kosa la demu wako jamaa hana kosa umeona uchungu wake sasa usimfanyie mwenzio jiamini eti na bastola dadek usije ukauliwa wewe au ukarogwa wanawake wapo kibao muombe Mungu akupe alie sahihi.
 
Utakuja kugongwa sasa na saikojia yako
vijana acheni kuwa na vimelea vya kike, usitegemee nitakuchekea ukileta tabia za kibwawa, pumbavu, andika vizuri na usirudie tena kuandika kama mwanamke. Mwanamke tu ndo anaruhusiwa kutumia neno 'basi bwana' akiwa anaelezea kitu, pumbavu kabisa.
 
Maneno yenye UHAI
 
...Pata kwanza hizo Hela....
 
Ipo sana hiyo mkuu.
 
Usimfikirie tena letina usipange kumuumiza. Utapata ambae ataheshimu hustle zako na akakuwa na wewe hata urudi sifuri.

Ulija pata maisha afu Ukimrudia tena Letina nitakuona fala balaa
 
Acha habari za letina angalia maisha mengine,anyway kuna uzi kule wa watu waliowahi kuzipata na kufirisika unaweza kwenda kuchangia
 
Mkuu mwandiko mbaya mno daaah, anyway kwenye maisha tunajifunza kutokana na makosa.
 
Ahahahahha bagosha mwana wane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…