Baada ya kufulia alikaa miezi sita akaniacha hata hivyo namshukuru

Sisi wenye vipato vya laki kwa mwezi tunaruhusiwa kukushauri
 
Biashara gani yenye pesa hivyo?
 
Pole yako, upto hitherto I'm very much certain that you've learned your lesson the hard way.Go back to the drawing board and rectify where you've astray.
 
M
Miss halafu anakuwa mwanamke na nusu? Mbona tushazoea mamiss huwa ni vimbaumbau wasio hata na misambwanda!! Au ulimaanisha yale mashindano ya miss bantu?
 
Leti anakaba na dume bila kupata mimbaa maana mpaka uje pata pesa kachakaaa...... Mambo ya kizamanii haya! Saivi pisi Kali kibaoooo.
 
Ndo hivi bhana mie nikikaaga na watu nawaambia sana..ukishika pesa ndefu kama umepanga kimbilia kujenga nyumba Yako...[emoji13][emoji1][emoji16]hawasikiiiii....wanakimbilia magari na papuchi....pesa ikikata kaishi kwenye papuchi[emoji1745][emoji1][emoji1]au kwny gari[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Mkuu mwezi wa saba bado week mbili hela iingie nakusubiria
 
Na pesa ikiingia akili Huwa inaondoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…