Baada ya kufunga ndoa ukae siku ngapi ili ufanye tendo la ndo?

Baada ya kufunga ndoa ukae siku ngapi ili ufanye tendo la ndo?

Mwambie tutamchapia

Amenikumbusha demu mmoja nilikuwa nae eti hatak kunipa mzigo mpaka siku ya ndoa,nilkuwa nikilalamika kuwa sitaweza kuvumilia siku zote hzo,yeye ananiambia kama siwez kuvumilia sasa je akiwa kwenye ndoa akiumwa nitafanyaje,yaan kila nikimwambia ananiambia niache tamaa za mwili,mwsho wa siku niliamua kuwa nae hvyo hvyo kibishi

Sema alikuwa kisu hatar,nikawa napenda kuwa nae tu nainjoy ila nilivyosepa huko hakuniona tena,yeye ndo akaanza kunitafuta
Kwahiyo huku muoa, je kumla ulimla?
 
Habari, nimekuja kuwauliza kwa niaba ya rafiki yangu ambae kesho anafungana ndoa ila kichwani anawaza sana akae siku ngapi baada ya kufunga ndoa ndipo afanye tendo na mke wake? Nimemwambia afanye tendo usiku wa ndoa yeye akasema anaogopa mke wake akamuwazia vibaya kwamba alimuoa kwa tamaa za kimwili na kwamba ni malaya.
Mpenzi ushauri jamaa
N. B MIKI NI KATAA NDOA
Kuna nyuzi nyingine ni za kipuuzi kama hii. Mahali nitoe mimi, Pete ninunue mimi halafu anipangie siku ya kufanya tendo.
 
Baada ya arusi Kanisani lazima lifanyoke tendo kukamilisha ndoa.
Consumption of the marriage,inaitwa.
 
Kwaujibu wa dini yangu mimi.

Kama umemuoa, kisha hujatia ndonga, aah, bado ndoa haijakamilika ukifa hata eda mwanamke hakai, yaani mfano, nimekuja kuoa tandale, ndoa ikafungwa hatujapata wasaa wa kulala wala kuwa pamoja, wakati tunarudi tukapata ajali, ama nikafa kwa namna yoyote basi mke wangu hakai eda(hakai zile siku za matazamio, huenda alikuwa na mimba yangu ama lah)

Mwambie apige MUCHINGA, isije mwanamke akahisi kaolewa na PUNGA ZEZE.
 
Kwaujibu wa dini yangu mimi.

Kama umemuoa, kisha hujatia ndonga, aah, bado ndoa haijakamilika ukifa hata eda mwanamke hakai, yaani mfano, nimekuja kuoa tandale, ndoa ikafungwa hatujapata wasaa wa kulala wala kuwa pamoja, wakati tunarudi tukapata ajali, ama nikafa kwa namna yoyote basi mke wangu hakai eda(hakai zile siku za matazamio, huenda alikuwa na mimba yangu ama lah)

Mwambie apige MUCHINGA, isije mwanamke akahisi kaolewa na PUNGA ZEZE.
Jamaa muoga sana hata nyapi haujui ipoje na inakata wapi pia demu ni bikla
 
Sikumla na sikumuoa,ila niliishi nae wakat huo kama dem wangu ingawaje nilikuwa simhudumii lakin nilikuwa namtoa out,namkumbatia namshika popote napotaka isipokuwa kwenye mbunye
Demu wako kiaje wakati umesema hukumla! Amka kijana unahudumia sio wa kwako alafu nyapi anapewa mwingine
 
Back
Top Bottom