Baada ya kufunga ndoa ukae siku ngapi ili ufanye tendo la ndo?

Kwahiyo huku muoa, je kumla ulimla?
 
Kuna nyuzi nyingine ni za kipuuzi kama hii. Mahali nitoe mimi, Pete ninunue mimi halafu anipangie siku ya kufanya tendo.
 
Baada ya arusi Kanisani lazima lifanyoke tendo kukamilisha ndoa.
Consumption of the marriage,inaitwa.
 
Kwaujibu wa dini yangu mimi.

Kama umemuoa, kisha hujatia ndonga, aah, bado ndoa haijakamilika ukifa hata eda mwanamke hakai, yaani mfano, nimekuja kuoa tandale, ndoa ikafungwa hatujapata wasaa wa kulala wala kuwa pamoja, wakati tunarudi tukapata ajali, ama nikafa kwa namna yoyote basi mke wangu hakai eda(hakai zile siku za matazamio, huenda alikuwa na mimba yangu ama lah)

Mwambie apige MUCHINGA, isije mwanamke akahisi kaolewa na PUNGA ZEZE.
 
Jamaa muoga sana hata nyapi haujui ipoje na inakata wapi pia demu ni bikla
 
Sikumla na sikumuoa,ila niliishi nae wakat huo kama dem wangu ingawaje nilikuwa simhudumii lakin nilikuwa namtoa out,namkumbatia namshika popote napotaka isipokuwa kwenye mbunye
Demu wako kiaje wakati umesema hukumla! Amka kijana unahudumia sio wa kwako alafu nyapi anapewa mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…