Baada ya kuipata CV ya Kiutendaji ya CDF General Mkunda niseme tu Shikamoo Kwake

Baada ya kuipata CV ya Kiutendaji ya CDF General Mkunda niseme tu Shikamoo Kwake

Huyo boya hajawahi hata kwenda Rwanda zaidi ya kuishia Bunda kwao anapochunga ng'ombe wa baba yake. .. acha kumfananisha Kagame na vitu vya kipumbavu
Huyu mwamba CDF ni wa Bunda au Mpwapwa mkuu? Hebu cheki vyema vyanzo vyako
 
Mtumie kagame?
USSR
Kwa huyu CDF General Mkunda Rwanda na Kagame wangu itatupasa turejee upya katika drawing board ili Kuisoma upya Tanzania Kijeshi na Kimkakati japo kwa upande wa Usalama wao Tanzania iko Uchi ( Mtupu ) kwa Rwanda kwani tunaijua ndani nje mpaka Kujaza Watu wetu huko na wengine hata Kupandishwa Vyeo vya Kiidara huku Wengine nao wakiteuliwa kuwa Wakurugenzi, Wakuu wa Wilaya, Wakuu wa Mikoa, Makatibu wa Wizara na baadhi yao kuteuliwa upande wa Unaibu Waziri.

CDF General Mkunda atatusumbua mno RDF kwani amepikwa na ameiva vyema Kijeshi hasa upande wa Operation, Intelligence, Strategy na kule Special Force.

Hongereni Tanzania kwa kuwa nae!!!
 
Kwa huyu CDF General Mkunda Rwanda na Kagame wangu itatupasa turejee upya katika drawing board ili Kuisoma upya Tanzania Kijeshi na Kimkakati japo kwa upande wa Usalama wao Tanzania iko Uchi ( Mtupu ) kwa Rwanda kwani tunaijua ndani nje mpaka Kujaza Watu wetu huko na wengine hata Kupandishwa Vyeo vya Kiidara huku Wengine nao wakiteuliwa kuwa Wakurugenzi, Wakuu wa Wilaya, Wakuu wa Mikoa, Makatibu wa Wizara na baadhi yao kuteuliwa upande wa Unaibu Waziri.

CDF General Mkunda atatusumbua mno RDF kwani amepikwa na ameiva vyema Kijeshi hasa upande wa Operation, Intelligence, Strategy na kule Special Force.

Hongereni Tanzania kwa kuwa nae!!!
Shenzi zako unataka kutuletea ujinga unatikisa kiberiti cha gesi, kila sekta tupo bien huyo babu yako Kagame nanga tu wa Brigade hana lolote
 
Back
Top Bottom