Baada ya kuipata CV ya Kiutendaji ya CDF General Mkunda niseme tu Shikamoo Kwake

Baada ya kuipata CV ya Kiutendaji ya CDF General Mkunda niseme tu Shikamoo Kwake

We una shida ya akili we jamaa?! 🤔

Usipende kuropoka mambo ndugu pasi na kujua neg. effects zake kwa upande wako na maisha yako kwa ujumla pamoja na familia yako. Acha kuzungumza au kuandika mambo mitandaoni kutafuta kujikweza na sifa ndugu! Kuna wide range of people hapa with different classes anonimity! Angaliaga na vya kuandika...

Wewe ukamtumie kagame CV za CDF wa TANZANIA kwa misingi gani?! Nia yako ni nini?! Unayajua matokeo yake na madhara yake?

Halafu wewe nambari ya Kagame au mail yake uipatie wapi wewe?! Nagundua sasa kwanini watu huwa wanakudharau na kukutukana kutwa na kila siku. Ushabatizwa jina la POPOMA kutokana na uropokaji wako na kuandikaga vitu visivyo na maana. Unaropoka sana!

Jirekebishe ndugu na badilika. MTU MZIMA WEWE ...,Heshima huanza kujengwa na wewe mwenyewe kisha wengine watakupa heshima. Hata JF moderators washakuona una uwalakini wewe si bure!

Angalia ndugu... shauri yako 😊😊😊

Umembandika, ukambandua alafu ukamsiriba.

Mwisho, hiyo sio kazi yako ku-moderate vitu vinavyoandikwa humu. Waache mods kazi Hii.
Unachoweza ni kutoa Maoni yako tuu bila kumpangia mwingine namna ya kutoa Maoni yake
 
CDF origin yake Mpwapwa na kwao naona pamejengwa vyema soon baada ya kula bingo vijana walipelekwa kufanya mambo
Hakuna kitu kama hicho...

Hizo centre zote ni kwa ajili ya .... ndio maana maeneo yote karibu na kuzunguka nyumba nyeupe yana wekwa sawa sawa

Ni kama Dar inavyozungukwa na makambi kila kona na Mikoa jirani...
 
Nina uzoefu mkubwa wa Kuwajibu na Kuwaelimisha Watu mliopungukiwa Akili kama Wewe.

Majibu yako.....

1. Huna Mamlaka ya Kunipangia nini cha Kuandika hapa JamiiForums na iwe mwanzo na mwisho kufanya hivi sawa?

2. Nimemuelezea CDF General Mkunda kama Mzalendo Halisi na Kufurahishwa na CV yake.

3. Kama CV za Majasusi wakubwa Tanzania, Viongozi na Watawala huwa tunazo, zipo na zinawekwa Wazi huyu CDF General Mkunda ni nani hadi tusiwe na yake?

4. Kwakuwa huna Akili utadhani kuwa huwa Nakurupuka tu ninapoandika kuhusu / kumhusu Rais Kagame wa Rwanda na Watutsi ila wenye Akili ( Watu wa TISS baadhi yao tena Wakubwa n wanaonijua hadi nilipo na Mimi ni nani ) wanajua kwanini huwa najifanya ni Mrwanda, namjua Rais Kagame na huwa najifanya Kuikandia Tanzania na kwa Taarifa yako tu huwa Wananishukuru kwani kwa Comments zenu huwa ni Msaada Kwao.

5. Kuhusu Moderators wa JamiiForums kuwa Wamenichoka na Wananipuuza huu utakuwa ni Mtizamo wako tu utokanao na kutokuwa Kwako na Akili.

Hivi Moderators wa JamiiForums wanaweza Kumchukia Member mwenye Followers 130 hadi 150+ hapa JamiiForums na ambaye kila Members 100 wakiingia JamiiForums ( Log In ) basi Members 50 ni lazima Wamsome / Wanisome GENTAMYCINE?

Na uache Kuwasemea Moderators wa JamiiForums kwani hawana Ubaya nami na sina pia Ubaya nao na ndiyo maana hata Juzi hapa hapa JamiiForums nilianzisha Uzi wa Kuwashukuru kwa Walichonifanyia na Kuniheshimisha Kwao.

6. Kumjua GENTAMYCINE na aina yake ya Kipekee ya Uwasilishaji wake hapa JamiiForums yakupasa uwe si Intelligent au Great Thinker lakini pia uwe ni Critical Thinker sifa zote ambazo kwa bahati mbaya huna na kamwe hutokuja kuwa nazo.

7. Mwisho tambua kuwa Mimi ndiyo GENTAMYCINE ( alias ) Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer na Mshindi wa Tuzo ya Mwanachama Bora wa Jukwaa la Michezo ( Sports ) hapa JamiiForums sawa?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!

Cc: Rusumo one
We kweli CHIZI 😂😂😂😂
 
Umembandika, ukambandua alafu ukamsiriba.

Mwisho, hiyo sio kazi yako ku-moderate vitu vinavyoandikwa humu. Waache mods kazi Hii.
Unachoweza ni kutoa Maoni yako tuu bila kumpangia mwingine namna ya kutoa Maoni yake
Juha hilo na wala lisikusumbue Mkuu.
 
Kwa huyu CDF General Mkunda Rwanda na Kagame wangu itatupasa turejee upya katika drawing board ili Kuisoma upya Tanzania Kijeshi na Kimkakati japo kwa upande wa Usalama wao Tanzania iko Uchi ( Mtupu ) kwa Rwanda kwani tunaijua ndani nje mpaka Kujaza Watu wetu huko na wengine hata Kupandishwa Vyeo vya Kiidara huku Wengine nao wakiteuliwa kuwa Wakurugenzi, Wakuu wa Wilaya, Wakuu wa Mikoa, Makatibu wa Wizara na baadhi yao kuteuliwa upande wa Unaibu Waziri.

CDF General Mkunda atatusumbua mno RDF kwani amepikwa na ameiva vyema Kijeshi hasa upande wa Operation, Intelligence, Strategy na kule Special Force.

Hongereni Tanzania kwa kuwa nae!!!
Wewe jamaa ni kiazi mbatata,
 
Nina uzoefu mkubwa wa Kuwajibu na Kuwaelimisha Watu mliopungukiwa Akili kama Wewe.

Majibu yako.....

1. Huna Mamlaka ya Kunipangia nini cha Kuandika hapa JamiiForums na iwe mwanzo na mwisho kufanya hivi sawa?

2. Nimemuelezea CDF General Mkunda kama Mzalendo Halisi na Kufurahishwa na CV yake.

3. Kama CV za Majasusi wakubwa Tanzania, Viongozi na Watawala huwa tunazo, zipo na zinawekwa Wazi huyu CDF General Mkunda ni nani hadi tusiwe na yake?

4. Kwakuwa huna Akili utadhani kuwa huwa Nakurupuka tu ninapoandika kuhusu / kumhusu Rais Kagame wa Rwanda na Watutsi ila wenye Akili ( Watu wa TISS baadhi yao tena Wakubwa n wanaonijua hadi nilipo na Mimi ni nani ) wanajua kwanini huwa najifanya ni Mrwanda, namjua Rais Kagame na huwa najifanya Kuikandia Tanzania na kwa Taarifa yako tu huwa Wananishukuru kwani kwa Comments zenu huwa ni Msaada Kwao.

5. Kuhusu Moderators wa JamiiForums kuwa Wamenichoka na Wananipuuza huu utakuwa ni Mtizamo wako tu utokanao na kutokuwa Kwako na Akili.

Hivi Moderators wa JamiiForums wanaweza Kumchukia Member mwenye Followers 130 hadi 150+ hapa JamiiForums na ambaye kila Members 100 wakiingia JamiiForums ( Log In ) basi Members 50 ni lazima Wamsome / Wanisome GENTAMYCINE?

Na uache Kuwasemea Moderators wa JamiiForums kwani hawana Ubaya nami na sina pia Ubaya nao na ndiyo maana hata Juzi hapa hapa JamiiForums nilianzisha Uzi wa Kuwashukuru kwa Walichonifanyia na Kuniheshimisha Kwao.

6. Kumjua GENTAMYCINE na aina yake ya Kipekee ya Uwasilishaji wake hapa JamiiForums yakupasa uwe si Intelligent au Great Thinker lakini pia uwe ni Critical Thinker sifa zote ambazo kwa bahati mbaya huna na kamwe hutokuja kuwa nazo.

7. Mwisho tambua kuwa Mimi ndiyo GENTAMYCINE ( alias ) Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer na Mshindi wa Tuzo ya Mwanachama Bora wa Jukwaa la Michezo ( Sports ) hapa JamiiForums sawa?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!

Cc: Rusumo one
Nyoooo! Et karagwe one mfyuuu
 
Huyo boya hajawahi hata kwenda Rwanda zaidi ya kuishia Bunda kwao anapochunga ng'ombe wa baba yake. .. acha kumfananisha Kagame na vitu vya kipumbavu
,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom