Baada ya kuipata CV ya Kiutendaji ya CDF General Mkunda niseme tu Shikamoo Kwake

Baada ya kuipata CV ya Kiutendaji ya CDF General Mkunda niseme tu Shikamoo Kwake

Ndiyo
Nipo mimi , nikiwa cdf sikuwa na taaluma ya ukomandoo
Mwanaume ukishakuwa Mwiba tu huwezi tena kuwa na Akili sana sana utaanza Kutuonyesha jinsi ulivyo Mental Case na kuhitaji Tiba ya haraka Milembe Dodoma au Lutindi Tanga au Muhimbili National Hospital Dar es Salaam.
 
Nina uzoefu mkubwa wa Kuwajibu na Kuwaelimisha Watu mliopungukiwa Akili kama Wewe.

Majibu yako.....

1. Huna Mamlaka ya Kunipangia nini cha Kuandika hapa JamiiForums na iwe mwanzo na mwisho kufanya hivi sawa?

2. Nimemuelezea CDF General Mkunda kama Mzalendo Halisi na Kufurahishwa na CV yake.

3. Kama CV za Majasusi wakubwa Tanzania, Viongozi na Watawala huwa tunazo, zipo na zinawekwa Wazi huyu CDF General Mkunda ni nani hadi tusiwe na yake?

4. Kwakuwa huna Akili utadhani kuwa huwa Nakurupuka tu ninapoandika kuhusu / kumhusu Rais Kagame wa Rwanda na Watutsi ila wenye Akili ( Watu wa TISS baadhi yao tena Wakubwa n wanaonijua hadi nilipo na Mimi ni nani ) wanajua kwanini huwa najifanya ni Mrwanda, namjua Rais Kagame na huwa najifanya Kuikandia Tanzania na kwa Taarifa yako tu huwa Wananishukuru kwani kwa Comments zenu huwa ni Msaada Kwao.

5. Kuhusu Moderators wa JamiiForums kuwa Wamenichoka na Wananipuuza huu utakuwa ni Mtizamo wako tu utokanao na kutokuwa Kwako na Akili.

Hivi Moderators wa JamiiForums wanaweza Kumchukia Member mwenye Followers 130 hadi 150+ hapa JamiiForums na ambaye kila Members 100 wakiingia JamiiForums ( Log In ) basi Members 50 ni lazima Wamsome / Wanisome GENTAMYCINE?

Na uache Kuwasemea Moderators wa JamiiForums kwani hawana Ubaya nami na sina pia Ubaya nao na ndiyo maana hata Juzi hapa hapa JamiiForums nilianzisha Uzi wa Kuwashukuru kwa Walichonifanyia na Kuniheshimisha Kwao.

6. Kumjua GENTAMYCINE na aina yake ya Kipekee ya Uwasilishaji wake hapa JamiiForums yakupasa uwe si Intelligent au Great Thinker lakini pia uwe ni Critical Thinker sifa zote ambazo kwa bahati mbaya huna na kamwe hutokuja kuwa nazo.

7. Mwisho tambua kuwa Mimi ndiyo GENTAMYCINE ( alias ) Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer na Mshindi wa Tuzo ya Mwanachama Bora wa Jukwaa la Michezo ( Sports ) hapa JamiiForums sawa?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!

Cc: Rusumo one
Acha wakusome! Hahahaha!
 
Hakika Jeshi la Tanzania limempata anayelijua vyema na anayeliweza na Kuwamudu Maadui zote wa Ukanda na hata wale wa Kimataifa wakithubutu Kujitokeza.

Atalisaidia sana tu Jeshi letu la JWTZ.
Ishiii! Ukuyomba kinenhe?
 
Back
Top Bottom