Papaaa mukuubwaaa
JF-Expert Member
- Jan 26, 2023
- 1,534
- 1,511
Hii inawezekana KumbeAjapigana vita huyu jeshini kaingia baada ya vita ni coz tuu na shule alizofanya basi kawa General...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii inawezekana KumbeAjapigana vita huyu jeshini kaingia baada ya vita ni coz tuu na shule alizofanya basi kawa General...
U know nothing kuhusu hii nchi mkuu. Unaweza kuhisi unaijua kumbe huijui. Kagame pamoja na kuwa ni agent wa CIA hapa East and central Africa bado sana mzee. Hicho unachokijua sio kwamba hapa hakijulikani Mzee. Bomu kubwa Kagame analoliunda hapo Rwanda ni ukabila tu. Post zote za juu jeshin na kila mahali ni watusi na hilo litakuja kumlipukia any time.Kwa huyu CDF General Mkunda Rwanda na Kagame wangu itatupasa turejee upya katika drawing board ili Kuisoma upya Tanzania Kijeshi na Kimkakati japo kwa upande wa Usalama wao Tanzania iko Uchi ( Mtupu ) kwa Rwanda kwani tunaijua ndani nje mpaka Kujaza Watu wetu huko na wengine hata Kupandishwa Vyeo vya Kiidara huku Wengine nao wakiteuliwa kuwa Wakurugenzi, Wakuu wa Wilaya, Wakuu wa Mikoa, Makatibu wa Wizara na baadhi yao kuteuliwa upande wa Unaibu Waziri.
CDF General Mkunda atatusumbua mno RDF kwani amepikwa na ameiva vyema Kijeshi hasa upande wa Operation, Intelligence, Strategy na kule Special Force.
Hongereni Tanzania kwa kuwa nae!!!
Kama ni Tusi likurudie Wewe na Wanafamilia wako Wote bila ya Kuwasahau Wapuuzi waliopoteza muda Wao kukuleta duniani.Ishiii! Ukuyomba kinenhe?
Rubbish and Nonsensical.U know nothing kuhusu hii nchi mkuu. Unaweza kuhisi unaijua kumbe huijui. Kagame pamoja na kuwa ni agent wa CIA hapa East and central Africa bado sana mzee. Hicho unachokijua sio kwamba hapa hakijulikani Mzee. Bomu kubwa Kagame analoliunda hapo Rwanda ni ukabila tu. Post zote za juu jeshin na kila mahali ni watusi na hilo litakuja kumlipukia any time.
Kaka huyu jamaa inabidi tumpige na RPG mana masumbufu sana....[emoji23][emoji23][emoji23]U know nothing kuhusu hii nchi mkuu. Unaweza kuhisi unaijua kumbe huijui. Kagame pamoja na kuwa ni agent wa CIA hapa East and central Africa bado sana mzee. Hicho unachokijua sio kwamba hapa hakijulikani Mzee. Bomu kubwa Kagame analoliunda hapo Rwanda ni ukabila tu. Post zote za juu jeshin na kila mahali ni watusi na hilo litakuja kumlipukia any time.