GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Pamoja na yote ila huachi tu Kumfuatilia.Kazi tunayo huyu mwamba akishaga achiwa kwenye ban huwa anatiririsha nyuzi halafu zote mbovu
Mtumie kagame?Hakika Jeshi la Tanzania limempata anayelijua vyema na anayeliweza na Kuwamudu Maadui zote wa Ukanda na hata wale wa Kimataifa wakithubutu Kujitokeza.
Atalisaidia sana tu Jeshi letu la JWTZ.
Mjomba ako kagame ajambo???Hakika Jeshi la Tanzania limempata anayelijua vyema na anayeliweza na Kuwamudu Maadui zote wa Ukanda na hata wale wa Kimataifa wakithubutu Kujitokeza.
Atalisaidia sana tu Jeshi letu la JWTZ.
Ebu fanya kutumegea ka CV kake kiduchu.. kwa haraka haraka ni mtu wa kazi ( field )Pamoja na yote ila huachi tu Kumfuatilia.
Alikuwa mkurugenzi wa mafunzo na operation za kijeshi Jeshini.....Ebu fanya kutumegea ka CV kake kiduchu.. kwa haraka haraka ni mtu wa kazi ( field )
Huyo boya hajawahi hata kwenda Rwanda zaidi ya kuishia Bunda kwao anapochunga ng'ombe wa baba yake. .. acha kumfananisha Kagame na vitu vya kipumbavuMjomba ako kagame ajambo???
Hakika, kwenye machapano kaiva na ndio eneo lake la kaziAlikuwa mkurugenzi wa mafunzo na operation za kijeshi Jeshini.....
Huyu mwamba CDF ni wa Bunda au Mpwapwa mkuu? Hebu cheki vyema vyanzo vyakoHuyo boya hajawahi hata kwenda Rwanda zaidi ya kuishia Bunda kwao anapochunga ng'ombe wa baba yake. .. acha kumfananisha Kagame na vitu vya kipumbavu
Namaanisha jamaa aliyeanzisha uziHuyu mwamba CDF ni wa Bunda au Mpwapwa mkuu? Hebu cheki vyema vyanzo vyako
Mkunda ni jina la kinyamwezi,maana yake mburuzoHuyu mwamba CDF ni wa Bunda au Mpwapwa mkuu? Hebu cheki vyema vyanzo vyako
Kwa huyu CDF General Mkunda Rwanda na Kagame wangu itatupasa turejee upya katika drawing board ili Kuisoma upya Tanzania Kijeshi na Kimkakati japo kwa upande wa Usalama wao Tanzania iko Uchi ( Mtupu ) kwa Rwanda kwani tunaijua ndani nje mpaka Kujaza Watu wetu huko na wengine hata Kupandishwa Vyeo vya Kiidara huku Wengine nao wakiteuliwa kuwa Wakurugenzi, Wakuu wa Wilaya, Wakuu wa Mikoa, Makatibu wa Wizara na baadhi yao kuteuliwa upande wa Unaibu Waziri.Mtumie kagame?
USSR
Kwa kigogo ni kundeMkunda ni jina la kinyamwezi,maana yake mburuzo
Shenzi zako unataka kutuletea ujinga unatikisa kiberiti cha gesi, kila sekta tupo bien huyo babu yako Kagame nanga tu wa Brigade hana loloteKwa huyu CDF General Mkunda Rwanda na Kagame wangu itatupasa turejee upya katika drawing board ili Kuisoma upya Tanzania Kijeshi na Kimkakati japo kwa upande wa Usalama wao Tanzania iko Uchi ( Mtupu ) kwa Rwanda kwani tunaijua ndani nje mpaka Kujaza Watu wetu huko na wengine hata Kupandishwa Vyeo vya Kiidara huku Wengine nao wakiteuliwa kuwa Wakurugenzi, Wakuu wa Wilaya, Wakuu wa Mikoa, Makatibu wa Wizara na baadhi yao kuteuliwa upande wa Unaibu Waziri.
CDF General Mkunda atatusumbua mno RDF kwani amepikwa na ameiva vyema Kijeshi hasa upande wa Operation, Intelligence, Strategy na kule Special Force.
Hongereni Tanzania kwa kuwa nae!!!