Baada ya kuipata CV ya Kiutendaji ya CDF General Mkunda niseme tu Shikamoo Kwake


Umembandika, ukambandua alafu ukamsiriba.

Mwisho, hiyo sio kazi yako ku-moderate vitu vinavyoandikwa humu. Waache mods kazi Hii.
Unachoweza ni kutoa Maoni yako tuu bila kumpangia mwingine namna ya kutoa Maoni yake
 
CDF origin yake Mpwapwa na kwao naona pamejengwa vyema soon baada ya kula bingo vijana walipelekwa kufanya mambo
Hakuna kitu kama hicho...

Hizo centre zote ni kwa ajili ya .... ndio maana maeneo yote karibu na kuzunguka nyumba nyeupe yana wekwa sawa sawa

Ni kama Dar inavyozungukwa na makambi kila kona na Mikoa jirani...
 
We kweli CHIZI 😂😂😂😂
 
Umembandika, ukambandua alafu ukamsiriba.

Mwisho, hiyo sio kazi yako ku-moderate vitu vinavyoandikwa humu. Waache mods kazi Hii.
Unachoweza ni kutoa Maoni yako tuu bila kumpangia mwingine namna ya kutoa Maoni yake
Juha hilo na wala lisikusumbue Mkuu.
 
Wewe jamaa ni kiazi mbatata,
 
Nyoooo! Et karagwe one mfyuuu
 
Huyo boya hajawahi hata kwenda Rwanda zaidi ya kuishia Bunda kwao anapochunga ng'ombe wa baba yake. .. acha kumfananisha Kagame na vitu vya kipumbavu
,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…