Baada ya kuipata CV ya Kiutendaji ya CDF General Mkunda niseme tu Shikamoo Kwake

U know nothing kuhusu hii nchi mkuu. Unaweza kuhisi unaijua kumbe huijui. Kagame pamoja na kuwa ni agent wa CIA hapa East and central Africa bado sana mzee. Hicho unachokijua sio kwamba hapa hakijulikani Mzee. Bomu kubwa Kagame analoliunda hapo Rwanda ni ukabila tu. Post zote za juu jeshin na kila mahali ni watusi na hilo litakuja kumlipukia any time.
 
Rubbish and Nonsensical.
 
Kaka huyu jamaa inabidi tumpige na RPG mana masumbufu sana....[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…