Aangae majibu ya zinaa kwa mungu
Mashabiki wametisha ila kuna ka ukweli kidogo, sio zamaradi tu wanawake wengi siku izi wanajisahau wanaona kuzaa nje ya ndoa fashion, hii inachangia sana kuwepo kwa street children na ndio chanzo cha mateso kwa watoto wasiokuwa na hatia... bora zamaradi baba watoto wake kidogo nafuu hao akina mama mwantumu uko tandale hali ndo mbaya wanazaa kama kuku uwezo hamna bas shida tupu
binamu mbona una hasira sana...!!!
hhhahahaaaaa
we huna dhambi au ndo zamaradi?
hakuna mtoto haramu tendo linalofanyika ndo haramu
asiezini humu ndani nani labda?
si bora zama kazaa hao wanaotupa chooni!
hebu msijifanye nyie ndo wachamungu kuliko wengine wakati kuna watu wazinzi humu,wezi,wanfki,wala na waliwa tigo
Baba mtoto ni yule yule??
Jamani ni Ruge tena au? Warumi njo huku utujuze.
Aunty sijui ya nani itakua ya msukuma labda[/QUOTE
Hapo sasa...!!In my shoes ya wiki iliyopita kama sikosei....Aunty alisema anawashangaa wanaotaka kujua baba wa mtoto wake ilhali yeye baba zao hawajui....
Unapokuwa kioo cha jamii, basi inabidi mwenendo wako uungalie mara mbili, wewe ata ukizaa watoto kumi nani atasema? Jina lina matter sio vzur sio suala la wangapi wanazaa nje binamu
Kila mtu ana malengo yake katika maisha yake. Na sijui tunaelewa nini kuhusu kioo cha jamii.
Ila ni ujinga kushindwa kutimiza malengo yako kwa sababu eti "kioo cha jamii" . Hiyo hiyo jamii ndio inayojua kukusinga baadae. Akizeeka bila mtoto watasema " alipenda usichana akaogopa kuzaa"
Na kuhusu maandiko kila mmoja anajua anapokosea, au kwa vile la kuzaa linaacha alama ndio maana tunanyoosha kidole?
Hongera yake Zamaradi, mampongeza kwa sababu mimi binafsi maamini kuwa mama ni furaha na mafanikio yanayozidi kila litu.
HUWEZI KUMRIDHISHA KILA MTU AKAONA JAMBO LAKO KWA MTAZAMO CHANYA.
Aunty sijui ya nani itakua ya msukuma labda[/QUOTE
Hapo sasa...!!
Kila mtu ana malengo yake katika maisha yake. Na sijui tunaelewa nini kuhusu kioo cha jamii.
Ila ni ujinga kushindwa kutimiza malengo yako kwa sababu eti "kioo cha jamii" . Hiyo hiyo jamii ndio inayojua kukusinga baadae. Akizeeka bila mtoto watasema " alipenda usichana akaogopa kuzaa"
Na kuhusu maandiko kila mmoja anajua anapokosea, au kwa vile la kuzaa linaacha alama ndio maana tunanyoosha kidole?
Hongera yake Zamaradi, mampongeza kwa sababu mimi binafsi maamini kuwa mama ni furaha na mafanikio yanayozidi kila litu.
HUWEZI KUMRIDHISHA KILA MTU AKAONA JAMBO LAKO KWA MTAZAMO CHANYA.
Team wazaa nje ya ndoa
hivi @moderators ndio nini kufuta thread ya Zari.............. nimekerekaje
cc @warumi
Ma mods wametukatishia stimu na movie yetu ya katunzi, au washapewa rushwa waizime scandal? Maana sielewi kibaya tulichokuwa tukikijadili, tatizo katunzi au kuna kingine??
Ma mods wametukatishia stimu na movie yetu ya katunzi, au washapewa rushwa waizime scandal? Maana sielewi kibaya tulichokuwa tukikijadili, tatizo katunzi au kuna kingine??
Mods where is our katunzi?
Ma mods wametukatishia stimu na movie yetu ya katunzi, au washapewa rushwa waizime scandal? Maana sielewi kibaya tulichokuwa tukikijadili, tatizo katunzi au kuna kingine??
ujinga ujinga tu hakuna hata cha maana cha.kuifuta ovyooo sana
Aunty sijui ya nani itakua ya msukuma labda[/QUOTE
Hapo sasa...!!
Kila mtu ana malengo yake katika maisha yake. Na sijui tunaelewa nini kuhusu kioo cha jamii.
Ila ni ujinga kushindwa kutimiza malengo yako kwa sababu eti "kioo cha jamii" . Hiyo hiyo jamii ndio inayojua kukusinga baadae. Akizeeka bila mtoto watasema " alipenda usichana akaogopa kuzaa"
Na kuhusu maandiko kila mmoja anajua anapokosea, au kwa vile la kuzaa linaacha alama ndio maana tunanyoosha kidole?
Hongera yake Zamaradi, mampongeza kwa sababu mimi binafsi maamini kuwa mama ni furaha na mafanikio yanayozidi kila litu.
HUWEZI KUMRIDHISHA KILA MTU AKAONA JAMBO LAKO KWA MTAZAMO CHANYA.
Mkuu Da pretty pamoja na hayo..ila usihalalishe dhambi, mfano mtu muuaji huwezi kumwambia eti we endelea kuua tu maana mbona wapo wengi wanawauwa watu !! Kosa ni kosa hata km na ww ni mhanga wa hiyo dhambi kubali tu kuwa kufanya hivyo ni kosa... ww mtu kafanya kosa mara ya kwanza kazaa nje ya ndoa unaweza kuita ni bahati mbaya lakini sasa hii ni mara ya pili ..hiyo ni dhambi ya makusudi ..lazima tuseme ukweli hata km sisi pia ni wakosaji..
Team wazaa nje ya ndoa