Baada ya kujifungua nje ya ndoa, mashabiki wamvaa Zamaradi

Baada ya kujifungua nje ya ndoa, mashabiki wamvaa Zamaradi

Hahahaaa, humu leo ni league kati ya wanaozaa nje ya ndoa na wanaopinga.Bora nikae kimya tu nikuachie warumi maana naona unagusa 'maslahi' ya wengi.
 
Last edited by a moderator:
Labda kama kuna tatizo binafsi.Wadada pigeni hesabu,kama unapata hela ya kula,umevuka 30,tafuta tu mbegu
 
Hahahaaa, humu leo ni league kati ya wanaozaa nje ya ndoa na wanaopinga.Bora nikae kimya tu nikuachie warumi maana naona unagusa 'maslahi' ya wengi.

Roho inaniuma sana kuona watoto wanahangaika ovyo mitaani, wadada mnajisahau sana mnadanganyika kirahisi mkiona wanaume wenye vijihela vyao tu basi mnapanua mkijua mtapata hizo pesa, watoto wangapi wanahangaika mitaani na baba zao wana pesa za kutosha? Tatizo ndo hilo watoto wa nje hawathamiki, ebu vuta picha ruge akioa mke mwingine, si atasema watoto wa zamaradi alizaa nje? Zamaradi atajisikiaje? NDoa tamu bwana asikwambie mtu na inaleta heshima
 
Last edited by a moderator:
Roho inaniuma sana kuona watoto wanahangaika ovyo mitaani, wadada mnajisahau sana mnadanganyika kirahisi mkiona wanaume wenye vijihela vyao tu basi mnapanua mkijua mtapata hizo pesa, watoto wangapi wanahangaika mitaani na baba zao wana pesa za kutosha? Tatizo ndo hilo watoto wa nje hawathamiki, ebu vuta picha ruge akioa mke mwingine, si atasema watoto wa zamaradi alizaa nje? Zamaradi atajisikiaje? NDoa tamu bwana asikwambie mtu na inaleta heshima
Hivi warumi unadhani Ruge kazaa na Zama pekee? Mbona ana mwingine? Ukitaka kujua wanawake wa Ruge na watoto wake subiri birthday yake ifike ndio utajionea.
 
Last edited by a moderator:
warumi huko IG kimenuka Ray C kapost jimimba la Zari basi hizo timu zao zipo uwanjani kupigana ha ha haaaa dah Tz ni zaidi ya nchi asee! na wana tusi jipya saivi "hebu kaangukiwe na ukuta Tegeta uko" ha ha haaaa
 
Last edited by a moderator:
warumi huko IG kimenuka Ray C kapost jimimba la Zari basi hizo timu zao zipo uwanjani kupigana ha ha haaaa dah Tz ni zaidi ya nchi asee! na wana tusi jipya saivi "hebu kaangukiwe na ukuta Tegeta uko" ha ha haaaa

Hhhaaa eti kaangukiwe na ukuta na tegeta huko
 
Last edited by a moderator:
Nyumba ya mondi imewauma timu pwanya Road na Ray C hamnazo anaoenda kupakwa kama Diva yaani hata hashtuki
Kuhusu Zama no comment amejichagulia maisha hayo tumuache maana majuto ni mjukuu kama kawaida wacha akue azidi kuyaona
 
Wala sijasema eti wengine hatufanyi dhambi, tunafanya tena chafu zaidi ya hyo, ila usihalalishe dhambi binamu, tusitafute faraja bandia, kuzaa nje ya ndoa ni fedheha na aibu kubwa sana especially kwa familia ya mwanamke, we unadhani zamaradi akiachwa na huyo ruge kuna mwanaume atakayetaka kumuoa? Acheni kuzaa nje mnawapa shida watoto wa watu ambao hawana hatia kwa starehe zenu za kumanua manua ovyo kama kuku 🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃

hahahaaa
nimegundua una chuki na zama kisa rugeeeeee
mie sijahalalisha dhambi ila nawaonea huruma maana mlishabikia wema azae nikuulize mlimpa mume au ndo bendera fata upepo....?!!
ushaombwa pampas labdaa..?
haya umeseme zama kazaa haramu na sie wambea wa humu na wasengenyi je?
sitetei uzinzi ila msijifanye wasafi kudhalilisha wenzenu
uite mtoto haramu wapi wameandika?
 
huyu zamarada mbona naskia yupo kwenye grade ya taifa?
 
warumi huko IG kimenuka Ray C kapost jimimba la Zari basi hizo timu zao zipo uwanjani kupigana ha ha haaaa dah Tz ni zaidi ya nchi asee! na wana tusi jipya saivi "hebu kaangukiwe na ukuta Tegeta uko" ha ha haaaa

Ni sheeeeeeda, nitakufa umbeani mwaka huu, nimeona binamu, nyie ray c ni nyokooo eti mtag baba wa mtoto, khaaaa muziki umemshinda wacha atupe umbea maana ndio habari ya mujini mziki awaachie akina jide
 
Last edited by a moderator:
hahahaaa
nimegundua una chuki na zama kisa rugeeeeee
mie sijahalalisha dhambi ila nawaonea huruma maana mlishabikia wema azae nikuulize mlimpa mume au ndo bendera fata upepo....?!!
ushaombwa pampas labdaa..?
haya umeseme zama kazaa haramu na sie wambea wa humu na wasengenyi je?
sitetei uzinzi ila msijifanye wasafi kudhalilisha wenzenu
uite mtoto haramu wapi wameandika?

Mmmh povu limekutokaaa. Umeona umbea wa ray c uko insta? Kampost zari na mimba yake, mmh anavyohangaika na hyo mimba wakat yeye hazai
 
Team wazaa nje ya ndoa wakikusikia apa patatkuwa hapatoshi

Waje tu ila ndo ukweli kuzaa nje ya ndoa tena kwa kudhamiria ni mbaya sana. Hivi ukitwaliwa kwa bahati mbaya ni nani msaidizi wako wa kulea watoto au ndo wanapelekwa kwa bibi ukute naye maisha kapuku si ni kutesa watoto? Ni kweli ndoa zina mengi kwa wanavyosema walio nje ya ndoa lakini tunavumiliana siku zinaenda tunalea watoto kwa pamoja.
 
ila Zama anajidai mjuaji mwanamke yule khaaa....asa uyo Ruge hata kiout kidogo uturushe roho sie wachawi wapi... usikute Juju anamwita anko babaake mwee
 
ila Zama anajidai mjuaji mwanamke yule khaaa....asa uyo Ruge hata kiout kidogo uturushe roho sie wachawi wapi... usikute Juju anamwita anko babaake mwee

Na alivyokauka kama maiti iliyochomwa moto
 
Back
Top Bottom