wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Wkt huo huo Mamsela,Rombo ikiongoza kwa kua na idadi kubwa ya vichaa kuliko sehemu nyingine yoyote ile Tz,kisa Nini?Uchawi/kafara ili wafanikiwe kwny biashara.Bila kusahau Kanda ya ziwa albino wengi waliuwa miaka ile
Yaani wanaongoza kwa ushirikina
Magufuli (Luo man) from Kenya.Roho zao nzuri zinasababisha wahamiaji haram kujifanya wasukuma..
Wanahifadhi wahamiaji haram wengi kanda ya ziwa
Kama sanduku la kura likiheshimiwa sawa..Mwanza ni kitovu cha kanda ya ziwa sasa mikoa ambayo hupokea mwamko kutoka mwanza ni kama ifuatavo, Shinyanga, Simiyu, Tabora, Mara, Geita, Kigoma, Kagera na Katavi ukitoka hapo unakuja kumalizia Mbeya, Songwe, Rukwa hizo ndio kanda za uchaguzi kwa mgombea Urais ukiungwa mkono huko tayari maana mikoa hiyo wakishika msimamo ni mmoja Dar ni wengi kwa idadi lakini hakuna wapigakura, Lindi na mtwara wao lolote twende hawana msimamo, Iringa, Njombe, Ruvuma mikoa hiyo hua wao ni CCM kwenye Urais japo wakiamua lao ni lao lakini hakuna kura nyingi kama kanda ya ziwa magharibi ambayo kura hua ni nyingi, Kanda ya kati hawa hawawezi kuamua urais, Arusha na kilimanjaro pia hawawezi kuamua Urais kwa sababu ya idadi yao, Zanzibar haina kura za kuamua urais hata iweje,
Hivo nakuunga mkono sema kwenye uchaguzi kuna hiyo kanda ya ziwa magharibi ni nyeti mno hao wasipokuunga mkono umekwisha
3. ukilinganisha na kanda ya Kaskazini na siyo wanafiki kabisa.
Kabisa mkuuWasukuma ndio kabila kubwa kuliko makabila yote Tanzania, sio kwa kanda ya ziwa tu.
Mikoa yote ya Kanda ya ziwa wasukuma wapo, Mara, Shinyanga, Tabora, Simiyu, Mwanza, Geita, pande za Kigoma na Katavi.
Mmmh hili Sina uhakika nalo ngoja nikapruvuWkt huo huo Mamsela,Rombo ikiongoza kwa kua na idadi kubwa ya vichaa kuliko sehemu nyingine yoyote ile Tz,kisa Nini?Uchawi/kafara ili wafanikiwe kwny biashara.
Ni afadhali hata huko Kanda ya Ziwa hao albino wapo. Kwingine wakizaliwa muda huo huo mnawanyonga na kuwaua.Bila kusahau Kanda ya ziwa albino wengi waliuwa miaka ile
Yaani wanaongoza kwa ushirikina
Bora umenena mkuuu.Ni afadhali hata huko Kanda ya Ziwa hao albino wapo. Kwingine wakizaliwa muda huo huo mnawanyonga na kuwaua.
Ushamba ni nini ?Umesahau kuwa ni washamba sana.
Mkoa upi wanawanyongaNi afadhali hata huko Kanda ya Ziwa hao albino wapo. Kwingine wakizaliwa muda huo huo mnawanyonga na kuwaua.
Karibu ujionee boss.Mmmh hili Sina uhakika nalo ngoja nikapruvu