Inahitajika akili ya kichaa kutetea magaidi yasiyojali hata maisha yao, kumbe wewe ni debe tu?1. Russia na China zilikuwa na uwezo wa kuzuia azimio UNSC dhidi ya Yemen kupitishwa.
2. Siku Moja baadaye kimenuka huko; bila shaka Pana vita kamili sasa.
3. Ikumbukwe kwenye azimio hilo China, Russia, Mozambique na Aljeria wali susa na hivyo kupita kwa 11 za "ndiyo."
4. Kwamba Russia aliikalia veto yake na sasa ndiye huyu?
View attachment 2869254
View attachment 2869257
5. Ujinga mzigo.
Utasubiri sana killaza😂😂America itaanguka tu ni suala la muda.
Mawazo ya kimaskini.America itaanguka tu ni suala la muda.
Marekani hata aanguke kamwe hatakaa asumbuliwe na vijitu vya mashariki ya kati.Mawazo ya kimaskini.
Shoga la madrasaAmerica itaanguka tu ni suala la muda.
Tuliwaambia hawa Hamas wa jf kuwa ipo siku watalia..ona sasa wapewa za matakoni na hapa simuoni Malaria 2 wala Bwana Utam a.k.a bwana ubwabawa😂Hawa wayemen acheni wanyooshwe pumbav kbs walitaka kupanda watu kichwani! Ngoja wapate haki yao ya kikatiba then mengn yatafuata
1. Wapi unaposoma gaidi akitetewa ndugu?Inahitajika akili ya kichaa kutetea magaidi yasiyojali hata maisha yao, kumbe wewe ni debe tu?
Endelea kuburuta kalio gaza na Yemen1. Wapi unaposoma gaidi akitetewa ndugu?
2.Tatizo la ukichaa na utupu wa madebe liko hapa:
View attachment 2869282
3. Hapo #2, waswahili husema:
"Nyani haoni kundule."
4. #2 na #3 panakuhusu sana wewe binafsi.
5. #4 Panathibitisha, kichaa na debe tupu ni wewe!
Endelea kuburuta kalio gaza na Yemen
Wote wavaa vipedo wamekimbia😂😂😂Mwanzo wale wavaa kobazi walikuwa wanasema hao Houth ni kiboko ya Mayahudi, USA na washirika wake pindi walipokuwa wanachezea sharubu za baba lao huko bahari nyekundu.
Sasa wameyatimba, yaani siku moja tu ya kushikishwa adabu, ngonjera na maneno ya kwenye khanga yameanza.
Kuna wapumbavu wanadhani USA itaanguka kisa inashiriki vita muda wote, ngoja niwakumbushe wapuuzi hao kuwa katika miaka 248 ambayo USA imekuwa taifa huru, ni miaka 16 pekee ambayo taifa halijawa vitani.
Hivyo vita kwa USA ni biashara yenye faida kiuchumi.
Hongereni sana USA na UK kwa kazi njema.
Hakuna gaidi litasalia .
cc Kitimoto Maghayo MK254
Mwanzo wale wavaa kobazi walikuwa wanasema hao Houth ni kiboko ya Mayahudi, USA na washirika wake pindi walipokuwa wanachezea sharubu za baba lao huko bahari nyekundu.
Sasa wameyatimba, yaani siku moja tu ya kushikishwa adabu, ngonjera na maneno ya kwenye khanga yameanza.
Kuna wapumbavu wanadhani USA itaanguka kisa inashiriki vita muda wote, ngoja niwakumbushe wapuuzi hao kuwa katika miaka 248 ambayo USA imekuwa taifa huru, ni miaka 16 pekee ambayo taifa halijawa vitani.
Hivyo vita kwa USA ni biashara yenye faida kiuchumi.
Hongereni sana USA na UK kwa kazi njema.
Hakuna gaidi litasalia .
cc Kitimoto Maghayo MK254
Hawa wayemen acheni wanyooshwe pumbav kbs walitaka kupanda watu kichwani! Ngoja wapate haki yao ya kikatiba then mengn yatafuata
Ulikutana nao wapi wakikimbia? Kwani wewe na kipedo chako ulikuwa umesimama wapi?Wote wavaa vipedo wamekimbia😂😂😂
Tuliwaambia hawa Hamas wa jf kuwa ipo siku watalia..ona sasa wapewa za matakoni na hapa simuoni Malaria 2 wala Bwana Utam a.k.a bwana ubwabawa😂