- Thread starter
- #21
Wavaa kobazi wa kiluvya huwezi kuwaona hapa hahahahahahahah.
Bei za mafuta zitakapopanda
hadi huku uendelee kukenua hivyo hivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wavaa kobazi wa kiluvya huwezi kuwaona hapa hahahahahahahah.
Hao wahuthi ni wapuuzi, wapigwe tu washike adabu, walileta mikwara na vitisho vya kijinga huku wanajua kabisa hawana uwezo wa kupambana na madola makubwa ya marekani na uingereza ongeza na israel jumlisha na wanachama wa NATO kuingia vitani kuwasaidia wenzao. Tena wapigwe mpaka wanyang'anywe udhibiti wa utawala wao
Mwanzo wale wavaa kobazi walikuwa wanasema hao Houth ni kiboko ya Mayahudi, USA na washirika wake pindi walipokuwa wanachezea sharubu za baba lao huko bahari nyekundu.
Sasa wameyatimba, yaani siku moja tu ya kushikishwa adabu, ngonjera na maneno ya kwenye khanga yameanza.
Kuna wapumbavu wanadhani USA itaanguka kisa inashiriki vita muda wote, ngoja niwakumbushe wapuuzi hao kuwa katika miaka 248 ambayo USA imekuwa taifa huru, ni miaka 16 pekee ambayo taifa halijawa vitani.
Hivyo vita kwa USA ni biashara yenye faida kiuchumi.
Hongereni sana USA na UK kwa kazi njema.
Hakuna gaidi litasalia .
cc Kitimoto Maghayo MK254
Subirini wanakuja, msije mkakimbia tu. Sasa hivi wapo busy kutengeneza na ku edit Picha za maiti za watoto na wanawake wa 'Yemen' kwa ajili ya kusambaza mitandaoni kuwa US na Uingereza wamewashindwa Houth wameanza kushambulia shule na mahospitaliShoga la madrasa
Subirini wanakuja, msije mkakimbia tu. Sasa hivi wapo busy kutengeneza na ku edit Picha za watoto na 'wagonjwa wa Yemen' kwa ajili ya kusambaza mitandaoni kuwa US na Uingereza wamewashindwa Houth wameanza kushambulia shule na mahospitali
Acha uoga wewe, bei ya mafuta ikipanda si unaongeza hela ya kununulia? Au hairuhusiwi?1. Ulitambua hii mada kuwahusu nini ndugu?
2. Bei za mafuta zitakapopanda hadi huku uendelee kukenua hivyo hivyo.
3. Hapo #2 itapendeza ukija Kwa bashasha zaidi.
Marekani mjanja sana anapopelwka haya maazimio. Anayafanya yaonekane innocent ila kumbe ndani kuna mtego
Acha uoga wewe, bei ya mafuta ikipanda si unaongeza hela ya kununulia? Au hairuhusiwi?
Kwa hiyo hao Houth hayo mashambulizi yao ndiyyo yalikua yanashusha bei?
Dogo unaweza niambia kosa la huyo ni nini mpaka kumuita hivyo ?Shoga la madrasa
Hatukimbii, waje tu na misuli yao tutashughulika nao ipasavyo.Subirini wanakuja, msije mkakimbia tu. Sasa hivi wapo busy kutengeneza na ku edit Picha za watoto na 'wagonjwa wa Yemen' kwa ajili ya kusambaza mitandaoni kuwa US na Uingereza wamewashindwa Houth wameanza kushambulia shule na mahospitali
4. Russia anapambana na hali yake sio lazima apambanie uhai wenu waarabu.1. Kushindwa kuelewa mada ni tatizo sugu kwa mtanzania.
2. Mada inahusu vita mashariki ya kati.
3. Nani mwenye akili timamu anataka vita middle east?
4. Kwanini Russia kakumbuka shuka asubuhi?
5. Ngoja manyani yashangilie sasa miti ikiungua.
6. Hapo #5 muendelee kushangilia hivyo hivyo bei za diesel na petrol zitakapopanda.
Bure kabisa!
Kuna bobasi mbili humu zinajitumuaWavaa kobazi wa kiluvya huwezi kuwaona hapa hahahahahahahah.
Dogo unaweza niambia kosa la huyo ni nini mpaka kumuita hivyo ?
Ndio nashika simu kijana tokea nlipoiacha janaTuliwaambia hawa Hamas wa jf kuwa ipo siku watalia..ona sasa wapewa za matakoni na hapa simuoni Malaria 2 wala Bwana Utam a.k.a bwana ubwabawa[emoji23]
Braza Juma mbona una hasira sana?Jikite kwenye mada ndugu
Hizi taarabu hazita saidia kituMwanzo wale wavaa kobazi walikuwa wanasema hao Houth ni kiboko ya Mayahudi, USA na washirika wake pindi walipokuwa wanachezea sharubu za baba lao huko bahari nyekundu.
Sasa wameyatimba, yaani siku moja tu ya kushikishwa adabu, ngonjera na maneno ya kwenye khanga yameanza.
Kuna wapumbavu wanadhani USA itaanguka kisa inashiriki vita muda wote, ngoja niwakumbushe wapuuzi hao kuwa katika miaka 248 ambayo USA imekuwa taifa huru, ni miaka 16 pekee ambayo taifa halijawa vitani.
Hivyo vita kwa USA ni biashara yenye faida kiuchumi.
Hongereni sana USA na UK kwa kazi njema.
Hakuna gaidi litasalia .
cc Kitimoto Maghayo MK254
4. Russia anapambana na halo yake sio lazima apambanie uhai wenu waarabu.
Pambaneni kuzoe kinyesi wenu wenyewe waliokunya Hamas na Houthi
kwa hiyo mikwara yote ile walikuwa wanategemea hawatapata kichapo kisa bei ya mafuta duniani itapaa. Ni majuha kutumia mafuta kama silaha/kinga yao, wamekosa adabu kupiga mikwara, wanyukwe tuBei za mafuta zitakapopanda hadi huku uendelee kukenua hivyo hivyo.
Hahaha sikujuaga kumbe ninyi ni washabiki tu kama simba na yanga ambao wakipigwa kisingizio wakipiga kisingizio.Ndio nashika simu kijana tokea nlipoiacha jana
Americant na Uingereza wanatapa tapa yaani hawana jipya
Tuone baada ya hayo wanayosema mashambulio kama kuna meli itaenda israhell
Msimamo wa houthi niule ule hakuna meli itaenda israhell wala kutoka naomba zikianza kuenda na kutoka mnikumbushe nimekaa hapa
Americant na shost zake watajibiwa tu yaani wala musiwe na shaka