Baada ya kukalia veto, Russia yakumbuka shuka kumekucha

Baada ya kukalia veto, Russia yakumbuka shuka kumekucha

Braza Juma mbona una hasira sana?
Hivi vimaandishi vyako havivuki hata mpaka kuweza kuwasaidia hao ndugu zenu, kunywa supu tulis kijana

1. Kwanini isiwe braza John? kudhani j ni juma tu, si ni ujuha ule ule uliopitiliza mno?

2. Pima maandishi yako na yangu kutambua bumunda la ukweli ni nani.

3. Ninakazia: "ni mpumbavu pekee wa kushangilia vita mashariki ya kati."

4. Hata US, na UK wenyewe hawashangilii ila yale mabumunda ya kwetu.
 
Hahaha sikujuaga kumbe ninyi ni washabiki tu kama simba na yanga ambao wakipigwa kisingizio wakipiga kisingizio.

Houthi alikuwa akiichokoza Us mkasema Us anawaogopa Houthi.

Leo Houthi wamejambishwa mnasema Us anatapatapa...Bwana Ubwaba akili hamnaa, hamna kitu, zero brain[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pole kijana

Americant na Uingereza wanasema wanataka wahakikishe njia salama ya red sea kwa meli

Nakuuliza tu baada ya Americant na Uingereza kufanya walilofanya jana kuna meli yeyote imepita au leo imepita kuelekea ama kutoka israhell

Nia ama malengo ya Americant na Uingereza meli zipite na nia na malengo ya houthi meli zisipite

Nakuhakikishia hakuna meli itapita hapo kwenda ama kutoka israhell na nanakuhakikishia hao wapuuzi hawataishinda houthi

Houthi itazuia meli hapo kupita mpaka kieleweke
 
1. Russia na China zilikuwa na uwezo wa kuzuia azimio UNSC dhidi ya Yemen kupitishwa.

2. Siku Moja baadaye kimenuka huko; bila shaka Pana vita kamili sasa.

3. Ikumbukwe kwenye azimio hilo China, Russia, Mozambique na Aljeria wali susa na hivyo kupita kwa 11 za "ndiyo."

4. Kwamba Russia aliikalia veto yake na sasa ndiye huyu?

View attachment 2869254
View attachment 2869309
5. Ujinga mzigo.
Ubabe usio na maana
 
Pole kijana

Americant na Uingereza wanasema wanataka wahakikishe njia salama ya red sea kwa meli

Nakuuliza tu baada ya Americant na Uingereza kufanya walilofanya jana kuna meli yeyote imepita au leo imepita kuelekea ama kutoka israhell

Nia ama malengo ya Americant na Uingereza meli zipite na nia na malengo ya houthi meli zisipite

Nakuhakikishia hakuna meli itapita hapo kwenda ama kutoka israhell na nanakuhakikishia hao wapuuzi hawataishinda houthi

Houthi itazuia meli hapo kupita mpaka kieleweke

Anaishi na kula kwa shemeji ataendelea kukenua huyo hata inflation itakapokamata Kwa sababu ya yatokeayo red sea
 
Wachache watakuelewa.Wengu ni bendera kufuata upepo na chuki za kidini.

FpKL8ABWcAANyqU.jpeg


Wengi akiwamo Sega la asali wamo kwenye list hiyo, ila hawajitambui.
 
kwa hiyo mikwara yote ile walikuwa wanategemea hawatapata kichapo kisa bei ya mafuta duniani itapaa. Ni majuha kutumia mafuta kama silaha/kinga yao, wamekosa adabu kupiga mikwara, wanyukwe tu

1. Aliyekimbilia UNSC si wao lakini.

2. Kwani wamekwambia haikuwa nia yao vita kutapakaa?

3. Kwani wamemwomba nani msaada au hata huruma tu?

4. Hivi hata mada umeielewa lakini?
 
Kwa hiyo kutetea magaidi ya Hamas na Houthi unajiona una akiilii haha what a fvck gaidi mtetezi😂😂😂

Ngoja nikuitie BICHWA KOMWE akupooze😂😂

1. Wapi unaposoma kutetewa gaidi yeyote bila kujali ni nani awe israel, marekani, Boko Haram, Al Shabaab au ISS?

2. Akili zenu mbona hazina akili kwa kiwango cha sgr?

3. Kwamba huyo BICHWA KOMWE - ndiye mwunga mkono ugaidi shujaa wako?
 
1. Wapi unaposoma kutetewa gaidi yeyote bila kujali ni nani awe israel, marekani, Boko Haram, Al Shabaab au ISS?

2. Akili zenu mbona hazina akili kwa kiwango cha sgr?

3. Kwamba huyo BICHWA KOMWE - ndiye mwunga mkono ugaidi shujaa wako?
Dogo wewe ni zero brain kabisa
 
...acha bombing campaign iendelee kwa week kadhaa tuheshimiane
 
Ruzzia hapo lazima apatwe ni kigugumizi kwa sababu kuathiriwa kwa biashara ya India na China kunaathiri moja kwa moja ununuzi wa gesi yake kwa sababu ndio tegemeo lake .

1. Kama ndivyo angalipiga veto resolution ya kumshutumu Yemen UNSC.

2. Huyu hajui afanye nini kwa sababu ya mikono ya mikono michafu Ukraine.

3. #2 pale kama US leo, hana muscle ya u big brother; hana tena moral authority.
 
Back
Top Bottom